WAY

Tuesday, August 5, 2014

KING OF BEST MELODY CHRISTIAN BELLA a.k.a OBAMA KUFANYA ONYESHO MAALUM LA KUWAHAMASASHA WANAWAKE KUPITA "NANI KAMA MAMA"



Akiwa anafanya vyema na wimbo wake uliotokea kutamba katika vituo vya redio nchini Tanzania 'Nani kama Mama', mwanamuziki nyota wa miondoko ya dansi na Bongofleva Christian Bella amepanga kufanya onyesho kubwa la kuwahamasisha wanawake kupitia wimbo huo mpya jijini Dar es Salaam.


Christian Bella ambaye naye ni miongoni mwa wasanii anayewapa kipaumbele kwa akina mama amesema kuwa tukio hilo lililobatizwa jina 'USIKU WA MAMA' litakalofanyika tarehe 29 mwezi huu atatauzindua wimbo huo pamoja na kuuperform kwa mara ya kwanza akishirikiana na wasanii wa miondoko ya Bongo fleva nchini akiwemo Ommy Dimpoz ambaye naye alimpoteza mama yake kipenzi.


Christian Bella aongea na enewz kuhusiana na onyesho hilo na pia sababu haswa ya kuutunga wimbo huo 'Nani kama Mama' ambao ni rasmi kwa ajili ya heshima kubwa kwa akina mama ulimwenguni.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...