WAY

Wednesday, August 6, 2014

WAKAZI MILIONI 2 VIJIJINI KUNUFAIKA NA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA


 
   Waziri wa maji Pr.Jumanne Maghembe
Kufuatia msaada wa pound za uengereza Milioni 150 zilizotolewa na serikali ya Uengereza kwa serikali ya Tanzania katika kuboresha huduma ya maji vijijini wakazi wa vijijini wapato milioni 2 hapa chini wanatarajiwa kuanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama ifikapo desemba mwaka 2015.

Akizungumza mara baada ya msaada huo Waziri wa Maji Pr Jumanne Magembe amesema msaada huo umekuja kwa wakati mwafaka, ambapo wizara yake imeelekeza nguzu vijijini hivyo kupitia msaada huo kutaharakisha utekelezaji wa mpango wa matoke makubw sasa BRN.

Pr Jumanne Magembe amebainisha utekelezaji wa miradi ya maji vijijini na usafi wa mazingira na mpango wa matokeo makubwa sasa kuwa umesaidia sana kuondoa magonjwa sumbufu yaliyokuwa wakiwasumbua wananchi waishio vijijini.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...