WAY

Monday, August 4, 2014

MTOTO WA HEMED MANET KUMUENZI BABA YAKE KWA TAMASHA KUBWA LITAKALOWAKUTANISHA MANGULI WA DANSI YA ZAMANI NCHINI NI KHEIRATY MANET ANAEIMBA NA VIJANA JAZZ KWA SASA




Mtoto wa Aliekua nguli wa muziki wa dansi nchini tanzania mwenye sauti ya pekee na kubatizwa jina la sauti ya chiriku na yeye akijulikana kama mtoto wa chiriku Kheiraty Maneti ambae kwa sasa anaimba na band ya mwisho kuimbia baba yake ya Vijana JAZZ  ameandaa Tamasha kubwa la kuenzi baba yake mnamo  tarehe 07/08/2014. 
                            KHEIRAT MANETI chiriku mtoto
Kwa mujibu wa bi dada huyo amesema anategemea Tamasha hilo litaweza kuwahusisha wanamuziki wa Vijana jazz na nitawakusanya wale wazee wote waliowahi kutingisha ktk muziki na alioimba nao baba wotee John Kitime,Hassan Dalali,Rashid Pembe,Kida Waziri,Kulwa Milonge,Cosmas Chidumule,Juma Choka,Ally Yahya,Mbaraka Othman,Mafumu Bilal na wengine wengi sana mzee King Kikii atasindikiza na band yake na isha mashauzi.
Kheiraty amesema lengo la tamasha hilo ni mkukumbuka mchango wa baba yake katika tansinia ya muziki wa dansi nchini lakini pia kuwaleta pamoja wakongwe wa muziki wa dnsi katika kubadilishana mawazo.


0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...