WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Thursday, November 20, 2014

HABARI ZA MTO ZA LEO ASUBUHI ZISOME HAPA

 SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU MALALAMIKO CHAGUZI SERIKALI ZA MITAA Serikali imetoa tamko kuhusiana na malalamiko ya Vyama vya siasa kuhusu kuingilia mamlaka ya vyama ya kuwapangia watu wa kuwadhamini Wananachama wao pamoja na Mihuri ambayo inatakiwa kutumika kutokana na Watendaji wa Vijiji kuwazuia wanachama hao kujiandikisha.Akitoka Kauli ya Serikali jana Bungeni Mjini Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda...

SOMA HABARI HIZO KATIKA BLOG HII

 WANAWAKE WAMELETA MABADILIKO NCHINI- MAKINDA Spika wa bunge kutoka Tanzania Anne Makinda amesema wabunge wanawake nchini  wamefanya kazi kubwa katika kuleta mabadiliko juu ya mtizamo wa watu kuhusu wanawake kwenye jamii.Spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC amefafanua wajibu wa bunge hilo  Kwa kueleza kile kilichojadiliwa na kikao hicho cha maandalizi cha mkutano wa maspika kwa mwaka 2015.Mh....

Saturday, November 15, 2014

ZAMU ZAO ZIMEPITA SASA NI ZAMU YA TARSIS MASELA JOTO RAIS YA FASHION-ACHA HIZO NI USIKU WAKE TAR 21.11

              Tarsis Masela akizungumza na Waandishi wa Habari Mwimbaji Nguli wa Akudo Impact Tarsis Masela Joto Rais wa Fasheni na Rais wa Band ya Akudo Impacht antarajia kuzndua Album yake Binafsi nje ya band yake ambayo amwashirkisha wanamuziki mbalimbali akiwemo Mzee Yusuph uzinduzi unaotarajiwa kuwashika...

Tuesday, November 4, 2014

TANZANIA YATUNGA KANUNI MPYA ZA UKAGUZI MAGARI KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI

             Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Mohamed Mpinga Jeshi la Polisi nchini Tanzania Kikosi cha Usalama Barabarani,kimewasilisha kanuni nne mpya za ukaguzi wa Magari nchini ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kukabiliana na Ongezeko la ajali za barabani hususani kwa magari yanayosafirisha...

VIJANA WATAKIWA KUACHA KUTUMIKA KISIASA NA BADALA WAWE CHACHU YA MAENDELEO

            Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana          katika jumuiya ya Madola Vijana katika nchi za Jumuiya ya Afrika mashariki wameanza kuonyesha hofu yao,juu ya namna wanavyotumiwa na baadhi ya wanasiasa, wenye maslahi binafsi katika kuleta machafuko,...

KURA YA MAONI KATIBA INAYOPENDEKEZWA NI APRIL 30, 2015- PRF. JK

                                                     Rais wa Tanzania Prof. Jakaya Kikwete Rais wa Tanzania Prof. Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kujitokeza kwa...

Monday, November 3, 2014

WAKAZI WAKIMBIA MAKAZI YAO KISA MICHANGO YA MAABARA YA SHULE ZA KATA

                      Mfano wa Maabara zinazotakiwa kuwepo nchini nzima Baadhi ya Wananchi Wilayani Karagwe Mkoani Kagera nchini Tanzania wameyakimbia makazi yao kwa ajili ya Kukwepa kuchangishwa Michango kwa ajili ya Ujenzi wa Vyumba vya maabara katika shule za Kata. Afisa Mtendaji...

BAWACHA WALAANI VIKALI VURUGU KWENYE MJADALA WA JAJI WARIOBA

                          Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA, Halima Mdee Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, nchini Tanzania limelaani vikali Vurugu alizofanyiwa aliekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...

SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA HOSPITAL YA RUFAA MKOANI MARA

                                     Ujenzi wa Hospital ya Rufaa Mkoani Mara Tatizo kubwa la ukosefu wa huduma za afya za rufaa ambalo limekuwa likichangia vifo vingi kwa wananchi...

Saturday, November 1, 2014

Serikali imetenga zaidi ya shilingi Bilion moja kwa ajili ya kununua vifaa vya Maabara zote zinazojengwa nchini

                             Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa Serikali imetenga zaidi ya shilingi Bilion moja kwa ajili ya kununua vifaa vya Maabara zote zinazojengwa nchini kwa lengo la kuboresha kiwango cha elimu na hasa katika shule za sekondari za kata ambazo zilikuwa hazina...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...