WAY

Saturday, November 15, 2014

ZAMU ZAO ZIMEPITA SASA NI ZAMU YA TARSIS MASELA JOTO RAIS YA FASHION-ACHA HIZO NI USIKU WAKE TAR 21.11



              Tarsis Masela akizungumza na Waandishi wa Habari
Mwimbaji Nguli wa Akudo Impact Tarsis Masela Joto Rais wa Fasheni na Rais wa Band ya Akudo Impacht antarajia kuzndua Album yake Binafsi nje ya band yake ambayo amwashirkisha wanamuziki mbalimbali akiwemo Mzee Yusuph uzinduzi unaotarajiwa kuwashika watu kwa aina yake kwaku wa atasindikizwa na band tafauti wakwemo Akudo wenyewe, Mashujaa Musica Band, na Jahazi Morden Taarab chini Y Mfalme Mzee Yusuph ambae nae yumo ndani ya Albam hiyo.

Kwa Mujibu wa Tarsis amesema album yake hiyo imesheheni nyimbo Takribani nane ambazo ikiwemo Tabia mbaya, Penzi lako limezidi Asali Remix, Chaguo Langu, Mwiko, Acha hizo, na nyingine kibao ambapo amesema album hiyo itakuja kufanya mapinduzi halisi katika Tasnia ya Muziki wa Dansi.
                                    Tarsis Masela 'Joto'
Tarsis Masela Anakua Mwanamuziki wa Tatu kutoka ndani ya akudo Impact kutengenea album yake mwenyewe Wengine waliwahi kutamba na Akudo na Kufanya kazi zao binafsi ni pamoja na Totoo ze Bingwa na Cristian Bella sasa ni Zamu yake.

Tarsis ambae alitua nchini Akitokea Congo na baada kufanya kazi na Ndanda Cosovo na Stono Musica na baadae alijiunga na Akudo na mpaka leo anaendelea kufnya vizuri na kuongeza kwa baada ya Album yake hiyo kitafuata ni kuzindua album ya akudo ambayo ipo tayari kabisa.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...