WAY

Thursday, October 16, 2014

MASHIRIKA YA KUZUIA UKIMWI YAPANGA KUTOKOMEZA KABISA UGONJWA HUO AFRIKA MASHARIKI


Mashirika na Taasisi zisizo za kiserikali zinayohusika na masuala ya Ukimwi yametakiwa kuimarisha ushirikiano ili kuweza kuleta mafanikio ya kuhakikisha wanaufuta kabisa ukimwi Afrika mashariki.


Akizungumza na wadau wanaowakilisha asasi zinazounda Mitandao inayojihusisha na VVU na Ukimwi Kaimu Mratibu wa Tume ya Taifa yakudhibiti Ukimwi Visiwani Zanzibar ALLY Mbrarouk Omary amesema kamwe vita dhidi ya Ukimwi haitaisha kama hakuta kuwa na ushirikiano baina yao.



Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka nchini Uganda yanayojishughulisha na masula ya UKIMWI, Namanya Baram amesema mtandao wao wenye zaidi ya mika 18 sasa una imani na Tanzania kama nchi kubwa wataweza kubadilisha uzoefu katika masula ya kupambana na VVU, na UKIMWI.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...