WAY

Tuesday, January 8, 2013

ALIEAMINIKA KUZIBA PENGO LA KALALA JOUNIOR NDANI YA MAPACHA WATATU,JANUARY 11 ACHOMOKA NA KUTUA NDANI YA BAND MPYA YA VICTORIA SOUND ASEMA BADO MAPEMA KUELEZA KILICHOMTOA MAPACHA WATATU

JANUARY 11 si jina geni kwa mashabiki wa mapacha watatu na wadau wa muziki wa dansi alianza kuimba akiwa na mapacha watatu kama mwimbaji msaidizi kwa kuimba classico kabla ya mapacha kupanda lakini vile vile alianza kuimba kwa kufanya back up katika nyimbo tofautitofauti za mapacha watatu na alipoondoka kalala jounior yeye ndie alikua akiziimba verse za kalala ndani ya mapacha watatu,lakini pai january alikwishaanza kuimba baadhi ya nyimbo za mapacha watatu ambapo kwenye nyimbo yao ya mwisho kuiachia ya CHANZO MWANAUME januari aliweza kusikika na kuonyesha kipaji chake halisi.
                                   JANUARY ELEVEN WA KWANZA KULIA
Januari ambae leo ataweka bayana katika kipindi cha extra africa na kuweka kile kilichomtoa mapacha watatu na kujiunga na band mpya ya victoria sound ambayo ipo chini ya nguli wa muziki wa dansi PRINCE MUUMINI MWINJUMA ambayo imeweka kambi yake mkoani mtwara kwa ajili ya kuandaa nyimbo ambazo watakwenda kuzirekodi hivi karibuni
                                 JANUARY ELEVEN ALIETUA VICTORIA SOUND

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...