WAY

Thursday, January 10, 2013

TWANGA ACADEMIA YAANZA KUTOA MATUNDA,VICTORIA SOUND YACHUKUA MMOJA NI MTOTO WA KIKE ANAEAMINIKA KUWA MRITHI WA KINA LUIZA MBUTU,KHADIJA MNOGA,HALIMA NGALUMA NA WENGINEO WALIWAHI KUTAMBA KIPINDI HICHO

CYANA ni jina geni katika muziki wa dansi lakini ni kipaji kilichoibuka kutoka ndani ya twanga academia ambayo ilikua chini ya walimu wawili nyoshi el saadat na komando hamza kalala na ni band ambayo ipo chini ya aset club ambapo vile vile band hiyo ikiwa ni band dada ya twanga pepeta international ambao huwa ndi huwa wanatumbuiza mwanzo kabla na baada ya hapo band kuubwa hupanda na kuendelea na burudani,

CYANA ni msichana pekee aliweza kuingiza sauti katika wimbo wa twanga academia uitwao linda na kuonyesha kipaji cha hali ya juu na ndipo kocha muumini mwinjua alipokiona kipaji hicho na na alipoata mdhamini wa na kuweza kumpa band kuisimamia na kuiendesha ndipo alipoamua kumnyakua msichana huyo kutoka twanga academia na kuweza kuwa nae katika band yake hiyo ya victoria huku akisema kwa kuwa yeye ni mtu wa kuibua vipaji basi amepania kuweza kumtoa

CYANA kama vile alivyofanya kwa kina amina ngaluma japanese,kina chinese,na wengineo,
KWA mujibu wa cyana mwenyewe amesema kwa sasa anaona ndio safari yake ya mziki inaanza kwa kuweza kupata nafasi yaku fanya kazi na wasanii wakubwa na wenye uzoefu vile vile hivyo amepania kufanyamakubwa katika tasnia na medani ya muziki wakiafrica kwa ujumla.

na kwa sasa ndani ya victoria sound ameshapewa nafasi ya kuimba mabao atakuwepo kwenye wimbo mbili za mwanzo za victoria ikiwa ni SHAMBA LA BIBI,NA MAMA BAHATI.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...