WAY

Tuesday, January 8, 2013

MWIMBAJI MKONGWE WA DIAMOND MUSIC INTERNATIONAL JUICE YA MACHUNGWA KUIBUKA NA ALBUM YKE YA YA YATAKA MOYO AACHIA SINGLE AKIWA AMEMSHIRIKISHA BWANA MISOSI ASEMA DIAMOND MUSICA BADO IPO LAKINI BISI NDIO HAKUNA ASEMA HAKUNA DIAMOND BILA YEYE AU ALAIN MULUMBA ALIEANZISHA DIAMOND NYINGINE SIO ORIGINAL NI FAKE

Baaada ya kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya show lakini wakiwa wametoa nyimbo zinazofanya vizuri radio kama supu ya kongoro na abdul karimu lakini pia waliweza kutamba na wimbo wao wa mapenzi kitu gani mwanamuziki mmmoja kati ya waliokua wanaunda diamond musica international JUICE YA MACHUNGWA aibuka na kusema kwa mwaka 2013 amejipanga kupakua album yake binfsi alioipa jina la yataka moyo huku akiwa ametanguliza sokoni wimbo wake wa kivuli ambapo project yake hiyo anaifanya chini ya udhamini wa mtu aliejitolea baada ya kuona kipaji chake katika music wimbo huo akiwa amemshirikisha mwanamuziki wa kizazi kipya BWANA MISOSI AMBAE HUMO NDANI AMEEIMBA BADALA YA KURAP NI NYIMBO ILIYOKATIKA MAHADHI YA ZOUK RHUMBA.
                                                       JUICE YA MACHUNGWA
Aidha juice ya machungwa amefafanua kuhusu kuwepo kwa DIAMOND MUSICA mbili amesema kuwa diamond musica ni moja tu ambayo yupo yeye JUICE YA MACHUNGWA.ALAIN MULUMBA,KATANYAMA,SAUTI YA RADI LIVER HASSAN hiyo ndio diamond musica ila hyi iliyoanzishwa kwa sasa yeye haifahamu na kusema kuwa wanatumia jina hilo vibaya na kujiingizia kipato wakati diamond yenyewe bado ipo ila bosi ndio tatizo sio wanamuziki kwa hiyo pindipo watakapo pata mdhamini basi wataweza kurudi kama zamani.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...