WAY

Wednesday, January 23, 2013

EXTRA BONGO KUFAYA BIRTHDAY KWA KUZINDUA ALBUM YAO YA MTENDA AKITENDEWA AMBAPO WATAUZA AUDIO NA VIDEO PAMOJA NA VIDEO ZA LIVE SHOW WALIZOZIFANYA SEHEMU TOFAUTI ZIKIWEMO WALIZOPIGA NJE YA NCHI

BENDI ya muziki wa dansi inayotikisa katika medani ya muziki huo kwa sasa nchini tanzania imepaia kufanya birthday kwa ajili ya kusherekea miaka mnne ya band hiyo ambapo siku ya uzinduzi wa band hiyo ndio siku ambayo wameamua kuizindua album yao ya MTENDA AKITENDEWA ambayo itakua na nyimbo sita zikiwemo MTENDA AKITENDEWA,UFISADI WA MAPENZI,WATU NA FALSAFA,NEEMA,MAMA SHUU NA SEBENE liliandaliwa na super nyamwela na nyimbo zote hizo zitakua na video zake za live pamoja na studioa ili kuweza kuwapa mashabiki wao ladha tofautitofauti
                                         TIMU NZIMA YA EXTRA BONGO
Akizungumza na na blog hii mkurugenzi wa extra bongo ALLY CHOKI amesema wameamua kufanya mwishoni mwa mwezi wa pili birthday hiyo ingawa walisema ingekua mwishoni mwa mwaka jana lakini amesema kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya kazi imebidi wasogeze mbele zoezi hilo ili kuwapa nafasi mashabiki wao kupata nyimbo zilizokamilika ingawa kwa sasa wameshaanza maandalizi ya nyimbo mpya ambapo nyimbo mya ya khadija mnoga ya mgeni ndio wanayoifanyia mazoezi kwa sasa.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...