WAY

Monday, January 7, 2013

SUPER NYAMWELA KUFUNGUA CHUO CHA KUFUNDISHA MADANCER ILI KUWAJENGA NA KUFANYA IWE KAZI YENYE PROFESIONAL,AANDAA PROJECT YA ALBUM YAKE NA AMINI T.H.T

DANSA aliejizolea umaarufu kutokana na uchezaji wake ambae pia alishawahi kuwa bingwa wa africa mashariki ambae kwa sasa anafanya kazi na band ya EXTRA BONGO akiwa kama muimbaji,mchezaji mtunzi wa show na baadhi ya nyimbo za extra bongo lakini pia ni muimbaji wa nyimbo za kiafrica na bongo flever pia amesema mwaka 2013 anataka kuufanya tofauti zaidi baada ya kuwaza kufungua chuo cha madansa ambapo atakua anawafundisha style mbalimbali za uchezeji ikiwa n bolingo,funky,hip hop na nyingine nyingi ili kuweza kutoa ajira kwa vijana kutokana na vipaji vyao.
                                             MIMI NA SUPER NYAMWELA
Aidha amesema kuwa ameamua kufanya ivo baada ya hsia za watu kuwa kazi ya udansa ni ya kubahatisha tu na hailipi ila anasema yeye toka alipotoka na mafaniko aliyokua nayo yanatokana na kazi yake ya show ambapo kwa ana mke na watoto wanaomtegemea kutoka na kazi yake hiyo na kusema itabidi vijana pia waeze kijikwamua kutokana na kazi hiyo isionekane kuwa ni kazi yawatu waliokosa kazi bali kazi kama kazi nyingine tu ambazo znaendesha maisha ya mwanadamu ya kila siku
                                         NYAMWELA KATIKA AKIWA KAZINI
LAKINI pia nyamwela amsema kwa mwaka 2013  amewaandalia mashabiki wake kazi nzuri ya solo akiwa na amin wa t.h.t ambapo wameshatengneza wimbo mmojawalioupa jina la kivuli ambapo video na oudio tayari vimeshatoka na kabla ya mwezi wa pili ataweza kuachia singo nyingine ambayo itafuatiwa na album ambayo ataitambulisha jina lake pindi itakapo kamilika.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...