WAY

Thursday, January 31, 2013

TOTOO ZE BINGWA APANIA KUPIGA MZIKI WA ASILI ZAIDI NA BAND YAKE YA SANA SANAA BAND KUIBUKA NA MTINDO WA MDUNDIKO KUIBUA VIPAJI VYA BAND ZINAZOPIGA KWENYE MABAR ILI KUENDELEZA MUZIKI WA KIAFRICA ASEMA NDOTO ZAKE NI KUWA KAMA KINA YOUSER NDOR NA SELIF SIO KUISHIA BONGO

MWANAMUZIKI wa siku nyingi alietamba na band mbali mbali nchini tanznaia ikiwamo AKUDO IMPACT,FM ACADEMIA na nyingine alizofanya miaka ya 2000 na kwa sasa ameibuka na band yake ya SANAA SANA BAND ambayo itakua ikipiga miziki ya asli ikiwemo mdundiko,sindimba na ngoma nyingine za asli za africa ambazo atakua anazipiga katika mtindo wa kisasa na tayari kama sana sanaa band amekwisha rekodi moja kwa ambayo itakua kwenye album yake binafsi na sana nsanaa band.
                  TOTOO ZE BINGWA AKIWAJIBIKA NA SANAA SANA BAND
MBALI na hilo totoo za bingwa pia maepania kusaidia band changa hasa zinazopiga muziki bure kwenye mabar na sasa kwa wale atakaoona wanavipaji anawachukua kisha kuwasaidia kurekodi ambapo kwa sasa amesha fanya na band moja changa alioichukua kutoka kwenye bar moja jijini dar-es salaam na kuweza kuwasaidia kurekodi na kuwabadilisha kutoka kwenyekuimba rhumba na kuifanya nyimbo hiyo kuwa katika mahadhi ya mdundiko
                TOTOO ZE BINGWA NA MWANAMUZIKI WKE NA SHABIKI
TOTOO amerejea hivi karibuni tanznia baada ya kufanya ziara fupi uerop ambapo alienda na wanamuziki wachache wa sanaa sana band na hiyo yote ni kutokana matatizo ya vyombo vyake ambavyo viliharibika na sasa yupo katika mchakato wa kurekebisha na kuanza band full

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...