WAY

Tuesday, January 15, 2013

BAADA YA UZINDUZI WA ALBUM YAO YA RISASI KIDOLE KUSHINDWA KUFANA KUTOKANA NA HUJMA KAMA WANAVYODAI SASA MASHUJAA KUFANYA UZINDUZI MWINGINE KWA AJILI YA KUITMBULISHA TENA ALBUM HIYO PAMOJA NA NYIMBO NYINGINE TATU MPYA ZA MWAKA 2013

MASHUJAA MUSICA BAND walifanya utambulisho wa album yao RISASI KIDOLE ndani ya ukumbi wa leaders  mwishoni mwa mwaka wa 2012 ambapo walisindikizwa na nguli wa muziiki africa J.B salvarola binadame shtuka baswahili ambapo uzinduzi huo uligubikwa na utata baada ya kila walipopanda jukwaani umeme ulikua unakatika kiasi chakupeleka kushindwa kupiga nyimbo zao zote
                              MENEJA MARTIN KULIA AKIWA MA MCD TUMBA
akiongea na blog hii meneja wa mashujaa musica MARTIN SOSPETER amesema kwa sasa wako kwenye mpango wa kufanya utambulisho rasmi wa album yao ya risasi kidole pamoja na kuanza kuiza siku hiyo ingawa hajasema ni lini ila amedokeza na kusema kuwa wanatarajia kufanya mwishoni mwa mwezi wa pili
AIDHA martini amesema kwa sasa anajipanga kuisuka tena band yake kwa kufanya usajili ingawa hajasema atawachukua wanamuziki gani lakini amesema hilo ni suprise ambayo ataifanya ndani ya mwaka huu wa 2013

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...