WAY

Thursday, February 14, 2013

BAADA YA KUPATA AJALI BUIBUI ASEMA WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA HAWANA UMOJA WALA USHIRIKIANO MAANA AMEKAA WIKI MOJA HOSPITAL BILA HATA MWANAMUZIKI MMOJA KWENDA KUMUONA

Msanii wa kizazi kipya kutoka nyumba ya vipaji tanzania t.h.t aliepata ajali ya pikipiki hvi karibuni na kuvunjika miguu yote miwili amefunguka na kuseam wasanii wa muziki wa kizazi kipya hawana ushirikiano sio kama wa bongo movies baada ya kukaa kimya bila ya mwanamuziki yoyote hata kutoka ndani ya t.h.t alieweza kwenda kumuona hosptalini hapo japo kumjulia hali zaidi ya mwalimu wake kardinal gento pamoja na bosi wake alienda kulipa hela ya matibabu zaidi ya hapo ni marafiki zake wakribu na mafans wake na hata baba yake mdogo ameweza kujitokeza na kusema wasanii wa bongo flever waige mfano wa wasanii wa bongo movies ambao kwenye matatizo huwa wanajitahidi sana kusaidia.

hata hivyo bui bui amesema kuwa atamalizia video ya wimbo wake mpya wa BORA UNGESEMA akiwa na mihogo kenye miguu na kwenye baiskeli iwe kama kumbukumbu lakini vile vile na uharaka wa video wenyewe ambapo wimbo wake ameutoa mwishoni mwa mwaka jana hivyo wadau wanahitaji ngoma mapema kabla hajaachia ngoma nyingine kwa kwa sasa album yake imekwisha kamilika

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...