WAY

Sunday, February 3, 2013

MAPACHA KUINGIZA SOKONI ALBUM YAO YA "YARABI NAFSI" WAMESHAMALIZA VIDEO YAO NA ALIKIBA -NAONEWA SAS KUFANYA BONANZA KILA JUMAPILI NDANI YA MIKOCHENI RESORT


Album hii mpya ya mapacha watatu inakwenda kwa jina la "yarabi nafsi"na ina nyimbo sita nyimbo ya kwanza kuotoka iliitwa..USIA WA BABU..(2)CHANZO WANAUME..feat KHADIJA KOPA(3)NAONEWA Feat ALI KIBA(4)ni amba yo inabeba jina la album ambapo tayari imekwisha kuwa tayari na itaingia mitandaoni siku ya ijumaa..inaitwa YARABI NAFSI ..humu utaskia waimbaji chipukizi wa mapacha watatu..KAMBI SETI na mwanadada CAHTERIN CINDY
                                       JOSE AND KHALID CHOKORAA
BAND inayoongizwa na magwiji wawili wa muziki wa dansi tanziania JOSE MARA,KHALID CHOKORAA pamoja na wanamuziki wengine kama caty tha first lady,kambi seti na wengineo ambao wanaunda kundi la mapacha watatu wameshakamilisha video ya wimbo wao mpya wenye mahadhi ya bongo flever ambao wamemshirikisha mkali wa bongo flever tanzania ALLY KIBA na katika wimbo ambao umekua gumzo sana kwa wadau wa mziki kutokana nauwezo ulifanyika katika colable hiyo ya naonewa ambapo jose na khalid wameonyesha uanamuziki wao na sio  uimbaji na hivi karibuni wataanza kuisambaza video hiyo ya naonewa,
                       FIRST LADY MAPACHA CATHERINE CIDY
MAPACHA WATATU ambao wameshakamilisha album yao ya YARABI NAFSI ambapo ndani yake kutakua na nyimbo sita  wataenda kuzindua mwanzoni mwa mwezi wa tatu baada ya kuahirisha kuizindua valentine kuwa kuweza kwanza kukamilisha maandalizi mazuri zaidi.

                                 KAMBI SETHI WA MAPACHA WA 3
MAPACHA WATATU ambao siku hizi kila jumapili wanapiga bonanza lao pale mikocheni resort ambapo linaanzia mchana kwa kuwa na mchanganyiko wa buradani nyingine nyingi na hii nikuweza kuwapa buradani wapenzi wao wa rika zote

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...