WAY

Wednesday, February 20, 2013

BAADA YA KUTIKISA NA CAROLINA SKYLIGHT KUACHIA NYINGINE MPYA

BAND inayokuja kwa kasi sasa nchini ya skylight band yenye maskani yake jijini adr-es-salaam ambao kwa sasa wanatikisa na wimbo wao wa carolina band ya skylight ambayo kwa mujibu wa kiongozi wa band hiyo aneth amesema wameamua kuachia wimbo mwingine hiyo ikiwa ni katika mipango ya kuanda album ambayo itawatambulisha kama skylight lakini vile vile na kuweza kujitangaza zaidi na kuweza kulikamata game la muziki wa dansi huku akiamini kuwa kwa sasa muziki wa kiafrica umeanza kuibuka tena baada ya watu wanaounda band kuweza kujipanga zaidi ili kuweza kufikia mafanikio ya miziki ya kimataifa zaidi
LAKINI pia ANETH ambae ameshawahi kupiga katika band tofauti tofauti hapa nchini kama viile b band,machozi band na baadae kushiriki tusker proct fame amesema kwa sasa wameandika nyimbo nyingi zaidi na wataanza kufanya show mikoa tofauti na wataanzia mwanza hivi karibuni
SKYLIGHT BAND KAZINI

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...