Wakiwa katika maandalizi ya kuachia album yao ya kumi na 3 mwaka huu ambapo wamekwishakamilisha nyimbo takribani nne mmoja wapo ni ambao unatikisa sasa katika vituo mbali mbali vya radio ambao umetungwa na rapa geryson semsekwa wimbo ukiitwa SHAMBA LA TWANGA PEPTA ambapoo inasemeka ndio unaweza kubeba jina la album ingawa badi hajafahamika rasmi kuhusiana hilo lakini leo rasmi ndani ya mzalendo pub katika siku hii ya wapendanao wanaenda kuzindua video ya shamba la twanga pepeta.
Thursday, February 14, 2013
Home »
» TWANGA PEPETA KUZINDUA LEO VIDEO YA SHAMBA LA TWANGA PEPETA LEO NDANI YA MZALENDO PUB KATIKA SIKUKU YA WAPENDANAO
TWANGA PEPETA KUZINDUA LEO VIDEO YA SHAMBA LA TWANGA PEPETA LEO NDANI YA MZALENDO PUB KATIKA SIKUKU YA WAPENDANAO
Related Posts:
LICHA YA KUWEKWA KWENYE KUNDI MOJA NA WAKONGWE KATKA KINYANG'ANYIRO CHA MUIMBAJI BORA WA KIUME KATIKA MUZIKI WA BAND DOGO RAMA ASEMA KAZI YAKE NDIO ITAKAYOMFANYA ACHUKUE TUZO HIYO PIA APONGEZA KILI KUONGEZA CATEGORY HIYO AMBAYO HAIKUWEPO HAPO AWALI ILA AKRI BADO KUNA MAPUNGUFU Akiwa katika kundi moja na CHALZ BABA,GERYSON SEMSEKWA,JOSE MARA,KHALID CHOKORAA, dogo rama ambae kwa sasa ndio muimbaji tegeneo twanga pepeta internationa amsema amafurahi sana kwa sasa kutambulika kwa kazi anayoifanya na … Read More
LUIZA MBUTU AFUNGUKA KUHUSIANA NA KUSOGEZA MBELE UZINDUZI WA ALBUM YAO MPYA LAKINI PIA CATEGORY MPYA YA MWANAMUZIKI BORA WA WA KIKE WA MUZIKI WA BAND ASEMA ALIOPANGWA NAO HAJUI VIGEZO VIPI VILITUMIKA KWA SABABU HAENDANI NAO SANA LAKINI AOMBA KURA ZA MASHABIKI WAKE KIONGOZI wa twanga pepeta LUIZA NYONI MBUTU afunguka kuhusiana na category za kili music awards na kusema kuwa hajui ni sifa zipi zilitumika kuweza kumuweka katika category hiyo ya muziki wa dansi akiwekwa na na wasanii amba… Read More
LICHA YA KUWA KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA MSANII BORA WA KIKE NA WAKONGWE KAMA LADY JAY DEE.KHADIJA KOPA,ISHA MASHAUZI RECHO ASEMA BADO ANAMATUMAINI YA KUCHUKUA TUZO KWANI KAZI YAKE ANAIAMINI HEBU SIKILIZA HAPA AKIFUNGUKA ZAIDI… Read More
SIKILIZA HAPA DOGO RAMA AKIOMBA KURA ZA KILI AWARDS KAMA MUIMBAJI BORA WA KIUME KATIKA MUZIKI WA BAND ASEMA LICHA YA UCHANGA WAKE NA KWA WATU ALIOPANGWA NAO ASEMA ANAMINI KAZE ZAKE NA MASHABIKI WAKE NDIO WATAKAOMPA USHINDI… Read More
BAADA YA KUFANYA UZINDUZI WA KWANZA WA AUDIO SASA MASHUJAA MUSICA KUZINDUA AUDIO NA VIDEO YA ALBUM YAO A RISASI KIDOLE JUMAMOSI YA TAR-11 KUSINDIKIZWA NA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA Akiongea na blog hii leo asubuhi director wa mashuja musica band KING DODOO LA BUJE amesema kwa sasa taari album ya risasi kdole imekisha kamilika kwa kila kitu na tayari kuingia sokoni moja kwa moja ambapo tar 11 mwezi huu … Read More
.


0 comments:
Post a Comment