WAY

Monday, February 4, 2013

HATIMAYE TEJA KITALE ACHUKUA JIKO PANDE ZA MWANANYAMALA SASA SIO KAPELA TENA

MSANII wa tasnia ya filamu za comedy na maigizo pamoja na muziki wa bongo flever hatimae jana mchana ameuaga ukapela rasmi na kuweza kuingia katika maisha ya kifamilia zaidi baada ya siku ya jana ya 03.02.13 kufunga ndoa maeneo ya mwananyamala harusi ambayo ilihudhuriwa na mastar kibao wa bongo flever na filamu hivyo kufanya kitale kuwa mmoja kati ya wasanii wachache walioa katika tasnia hiyo ambayo inasemekana kuwa inaongoza wasanii wake kwa kuto ingia katika suala la ndoa mapema zaidi huku wengi wao wakitawalia na skendo za hapa na pale
                                     KITALE AKIWA NA MKEWE
akiongea na blog hii KITALE amesema ameamua kuchukua uamuzi huo kutkana wasanii wengi kujisahau nafasi zao katika jamii kama ni mfano bora lakini pia ni katika kutimiza mari za mwenyezimungu pamoja na kujiongezea thawabu ila pia akisema ni bora kufanya hivyo mapema kwa kuwa maisha yenyewe haya hayatabiriki kwa sababu walipanga kuoa wote yeye na rafiki yake kipenzi sharomilionea lakini hatimaye mungu akamchukua bila kutimiza ndoto zake.
kitale amesema anafuraha sana sasa kuitwa mume wa mtu.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...