WAY

Friday, February 8, 2013

TUNDA MAN AFUNGUKA KUHUSIANA NA KUVUJA KWA NGOMA YA MAREHEM SHAROMILIONEA NA YEYE ASEMA WATU WA KARIBU NDIO HUWA WANAHUSIKA KUVUJA KWA KAZI ZAO LAKINI ASEMA SASA ATATOA NGOMA MBILI KWA MPIGO KWA KUWA AMEKAA KIMYA SANA,

MSANII wa miondoko ya bongo flever tunda man asema kuvuja kwa ngoma zao kunatoka kwa watu wa karibu ambao mtu unakua umemwamni kama mshkaji lakini mwisho wa siku unaikuta ngoma mtaani na ndivyo ilivyotokea kwenye ngoma ya vuluvulu au nawavuruga ya marehem hussein mkieti A.K.A sharomilionea aliyoshirikishwa yeye kuwa mtaani na kusema kuwa hana taarifa yoyote kuhusiana na kutoka kwa ngoma hiyo kwa kuwa ilikua bado kufanyiwa mixin na vitu vingine na kusema kwa sasa ni bora nyimbo ukamsikiliz mshkaji mmoja tu ili hata ikivujua ujue  ni nani kaivujisha kilichopo sana ni kukiamini tu utakachokitengenza baasi
AIDHA TUNDA amesema kwa mwaka huu ataachia ngoma mbili mfululizo moja akiwa amemshirkisha msanii toka kiumeni CHEGE CHIGUNDA na nyingine akiwa amemshirikisha msanii mchanga anaemsimami yeye mwenyewe anaekwena kwa jina la sungura.
                                         TUNDA MAN A.K.A CAPTAIN
tunda ameongeza kwa kusema kuwa ameamua kutoka ngoma mbili kwa mpigo i kutokana na ukimya wake toka mwaka jana mwezi wa nane na demu sio hivyo imebidi awape mashabiki wake kitu kipya lakini si hivyo tu anatoa ngoma nyingine kwa ajili ya kumsaport msanii anamsimamia kwa sasa sungura  ambae anaamini anakuja kufanya mapinduzi katika game

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...