WAY

Thursday, February 14, 2013

TIP TOP CONECTION WAHAMIA UPANDE WA FILAMU WATIA FILAMU MOJA SOKONI HUKU ZENGINE ZIKIFATA JUMAPILI KUFANYA USAILI WA KUSAKA VIPAJI VYA WAIGIZAJI WATAKAOKUA CHINI YA TIP TOP NA SASA NI MUZIKI NA FILAMU

KAMPUNI ya tip top conection iliyo chini ya abdu boge ambayo ilikua inalisimamiza kudi zima la tip top conection ambalo linaundwa na MADEE,TUNDA MAN,PINGU,na wengiine kibao sasa mkurugenzi wa kundi hilo ameweza kugeukia upande mwingine ambapo kwa sasa imeundwa tip top film ambayo itakua na waigizaji kama HUSNA SAJENT ambaeni muigizaji maarufu pia aliwahi kushiriki mashindano ya kimwana wa twanga pepeta lakini kwa sasa ndio msemaji wa tipo top conection film ambao leo ameweza kufunguka na kusema sasa wameshaingia rasmi katika tasnia hiy ambapo film yao ya kwanza inayoitwa ASINA
                                                            HUSNA SAJENT
HUSNA amesema siku ya jumamosi watafanya usaili wa kusaka wasanii watakaoweza kuwa chini ya tip top na kuweza kuanza kuigiza katika filamu zinazokuja sio kama sasa ambavyo filamu zao walikua wanachukua wasanii kutoka sehemu tofauti  na usaili huo utafanyika siku ya jumamos magomeni kgera kwenye maskani ya tip top connection kuanzia saa mbili asbhi na kuendelea na watakaopatikana hapo ndio watakaoweza kujiunga na tip top conection film.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...