WAY

Tuesday, February 26, 2013

MAPACHA KUZINDUA ALBUM YA YARABI NAFSI TAR 02.03.2013 BUSNEES PARK SASA WAPO KAMBINI BAGAMOYO WAKIJIFUA KWA MAZOEZI MAKALI KWA AJILI YA UZINDUZI HUO UNATARAJIWA KUTIKISA JIJI kusindikizwa na mashujaa,lina na khadija kopa

Nikiongea na mkurugenzi wa mapacha watatu KHALID CHOKORAA amesema uzinduzi wa album ya YARABI NAFSI ambayo itakua na nyimbo nane zikwemo NAONEWA walimshirikisha ALLY KIBA ambao upo katika mahadhi ya bongo flever CHANZO WANAUME waliomshirikisha MALKIA WA MIPASHO KHADIJA OMARY KOPA,NYINGINE NI WOSIA WA BABU,na nyinginezo huku akitanabaisha kuwa album yao itakua ya tofauti zaidi ambapo itakua ina ladha mbali mbali ikiwemo mduara,sebene,rhumba,bongo flever

                                       WAKURUGENZI WA MAPACHA 3
aidha khalid aliitaja timu yake ya waimbaji ambayo itafanya mauaji siku hiyo ni pamoja mwanadada mwenye sauti ya kipekee CATY a.k.a FIRST LADY WA MAPACHA,JOHN CENA,KAMBI SETH pamoja na wao wwakurugenzi JOSE MARA, KHALID CHOKORAA
AIDHA show hiyo ya uzinduzi itasindikizwa na band kama mashujaa musica,khadija kopa,pamoja na linah msanii wa bongio flever  huku akisema kuwa wamamua kusindikizwa na wanamuziki hao kutokana na kila mmoja ana mashabiki wake hivyo kuongeza mvuto zaidi katika uzinduzi huo utakaofanyika bussness park makumbusho

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...