WAY

Wednesday, February 27, 2013

VICTORIA SOUND KUTAMBULISHWA RASMI IJUMAA HII NDANI YA MANGO GARDEN TAYARI WANATIKISA NA MBILI HEWANI SHAMBA LA BIBI NA MWISHO WA SIKU kusindikizwa na extra bongo wazee wa kizigo na jahazi morden taarab

BAND ambayo imekua gumzo kwa muda mfupi iliyochini ya kocha wa dunia prince muumini mwinjuma kufanya utambulisho wa band yao siku ya ijumaa ya tar 1.03.13 pale mango garden ambapo wataweza kuzitambulisha pia nyimbo zao mpya na zile ambazo zimeanza kutikisa kwa vituo vya radio kama vile shamba la bibi ambayo imezua sana gumzo kwamba ni dongo kwa band ya twanga pepeta ambapo ndipo alipotoka mtunzi na kiongozi wa band hiyo muumini mwinjuma lakini na wimbo mwingine wa wazri sonyo uitwao mwisho wa siku ambao uko katika mahadhi ya rhumba huku wakitegemea kuzitambulisha nyingine ambazo  zipo tayari lakini bado kwenda kurekodiwa kama vile MAMA BAHATI,UTAFITI WA MAPENZI
                             VICTORIA SOUND KWENYE MOJA YA MAONYESHO
 Akizungumza na blog hii meneja wa victoria khamis amesema kila kitu kimekamilika huku akiwataja wanamuzi waimbaji wanaounda band hiyo ni pamoja na JANUARY alietoka mapacha watatu,CIANA ambae ametoka TWANGA ACADEMIA,MUSA KARENGA Aambae ni rapa pia AMETOKEA T.OT. RAMSON BUSHOKE pamoja na WAZIRI SONYO NA MUUMINI MWINJUMA
aidha meneja ameongeza kusema kuwa baada ya utambulisho wataingia tena kambini kwa ajili ya maandalizi ya album yao ya kwanza kabisa

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...