WAY

Wednesday, September 4, 2013

BAADA YA KUACHIA WIMBO WAKE WA CHUKI BILA SABABU DOGO RAMA A.K.A BULLDOZA ASEMA WADAU WATARAJIE MAKUBWA ZAIDI KUSHINDA ALBUM YAKE YA KILOMETA 10000

MWANAMUZIKI wa dansi anaekuja juu sana katika medani ya muziki huo hapa nchini akiwa anafanya kazi na band ya TWANGA PEPETA lakini wakati huo huo akitengeneza kazi zake mwenye ambazo anasema kwa lengo la kuonyesha kipaji chake na zaidi lakini pia kujiongezea kipato kwa kuwa uongozi wa band hiyo umekubaliana na suala na kwa sasa tayari ameshaipeleka sokoni album yake aliyoiachia mwakajana ya KILOMETA 10000 ambayo anasema imefanya vizuri na ndio iliyompa nguvu ya kuweza kufanya album nyinginemwaka huu ambayo hata hivyo imechelewa kutokana na kusubiri kwanza album ya NYUMBANI NI NYUMBANI iweze kusogea na yeye aweze kuapt nafasi ya kufanya yake
DOGO RAMA amesema kwa sasa maeutanguliza wimbo wa chuki bila sababu na kusema ameufanya kama utambulisho wa album hiyo ambayo nyimbo karibu zote zipo tayari kasoro wimbo mmoja tu ambao ataumalizia hvi karibuni na kusema kwa sasa ameamua kupunguza urefu wa nyimbo ili aweze kupata airtime ya kutosha katika media ingawa kwa bendi kufanya hviyo kunawabana sana

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...