WAY

Thursday, September 5, 2013

NEY WA MITEGO ASEMA MADAM RITHA HATA HELA YA KUMLIPA YEYE KUWA JAJI BONGO STAR SEARCH NA KUONGEZA KUWA AMEOGOPA KWENDA MAHAKAMANI KWA KUWA ANAJUA ANACHOKIFANYA NA ANGEENDA NDIO ANGEONA KAMA HAWEZI KUMLIPA,PIA ASEMA WALIOMTISHIA KWA SMS WAMEOMBA MSAMAHA ILI ASIWATAJE

Mwanamuziki wa hip hop anaetikisa kwa sasa na wimbo wake wa SALAM ZAO, Ney wa mitego amefunguka baada ya shutuma za kuwa madam ritha amesema hata akimpeleka mahakamani kuwa hana hela za kumlipa kwa yale aliosema, ney amevimba kama ana uhakika na kesi hiyo  angeenda mahakamn ashinde aone kama hata mlipa hiyo hela ila kwa kuwa anajua anachokifanya katika  bongo starsearch ndio maana hajaenda huko mahakamani huku akiongeza kwa kusema madam ritha mwenyewe ndio alimatafuta ili aende kuwa jaji ndani ya bongo star search hali ambayo amesema kuwa hawezi kwenda kamwe kwa kuwa hana pesa ya kumlipa hata kidogo kwa hivyo kama la salam zao limegusa bora akae kimya tu,
AIDHA ney amesema kuwa kwa sasa amewasaemeh wale waliokuwa wanampa vitisho kwa kuwa amesema wamekula hela za rambirambi za msiba wa albert mangea na steven kanumba ambao aliahidi endapo wangeendelea kumfatafata basi angewaanika hadharani hivyo wamekaka wameyasuruhuisha na sasa kazi zingine zinaendela kama kawaida na
Pia ney amesema hivi karibuni ataachia video yake ya salam zao ambao itakua tofauti na watu wanavyofikiria

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...