WAY

Tuesday, September 10, 2013

SNURA MUSHI ASEMA WASICHANA WANAOCHEZA BILA KUVAA NGUO ZA NDANI HAWAJIAMINI NA HATA KAMA WANADHANI NA YEYE YUMO SASA AMEKUJA STYLE MPYA YA UVAAJI KWENYE JUKWAA GAUNI NDEFU LINA MPASUO NA KISHA NDANI PENSI NDANI NA BURUDANI ITATOKA KAMA KAWAIDA HATAKI KUPATA UMAARUFU KWA KUJIDHALILISHA sikiliza hapa

MWANADADA anaekuja kwa kasi katika medani ya muziki wa kaifrica na bongo flever tanzania snura mushu a.k.a snu sex majanga amesema kuwa wanaodhani wao huwa hawavai nguo za ndani kisha kupanda stejini kwa kudhani kuwa ndo kunawavuta wengi wanakosea na sasa yeye kuthibitisha hilo amesema kwa sasa atakuja na style mpya ya kushona gauni ndefu halafu ndani atavaa pensi itakayoonekana ili washindwe kusema yale wanaosema na kusema yyeye yupo kwenye muziki kwa kupata sifa kwa ajili ya kazi na sio kujidhalilisha kama wanavyafanya wengine
katika mahojiano na mimi hvi karibu nilimuuliza swali hilo kutokana na yale yanayojiri kwa baadhi ya waotot wa kike kupanda jukwani wakiwa watupu  ili kuweza kuonekana wanafanya kitu na hivi karibuni iliweza kumtokea mwadada shilole katika moja ya maonyesho ya fiesta ambapo aliweza kucheza na kuonyesha kila kitu cha ndani ambapo kilimfanya aweze kuandikwa sana kwenye magazeti lakini snura amesema kwake hilo halipo kabisa na ndio maana show zake zote huwa navaa nguo ndefu mpka chini na kwaku wamesema pamoja na kuwa

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...