WAY

Monday, September 9, 2013

MUIMBAJI NGULI WA MUZIKI WA DANSI ROGERT HEGGA CATAPILA AFUNGUKA NA KUSEMA MAISHA NDIO YAMEMFANYA KUONDOKA EXTRA BONGO NA KUANZISHA BAND YA SUPERSTAR NA WALA HANA UGOMVI NA ALLY CHOKI INGAWA KAMARADE HAKURIDHIA AONDOKE

Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi ambae amewahi kutamba katika mabd tofauti tofauti na mara hii akitokea extra bongo na kuunda band ya super star ambayo itakua ikiongozwa na magwiji mbali waliwahi kutamba kipindi cha nyuma na bado wakiwa wanaendelea kufanya muziki vizuri kwenye game hiyo ya muziki a dansi ambapo aliweza kuwaorodhesha wanamuziki baadhi watakaounda superstar ni AMIGOLAS BABA NA SOPHII,VICOTR MKAMBI,MSAFIRI DIOF na wengine ambao watakuwa wanawasaidia katika uimbaji


AIDHA ROGERT  amesema kuondka kwake extra bongo ni kama alikua ana ugomv na ally choki hapana ila ameondoka kimaslahi zaidi kutoka na kwamba masiha yanaendelea wwadau na mashabiki wasimchukulie vibaya ila kila mt akifanya kitu ana malengo yake kwa hiyo kwa sasa ameona jia nyingine ya kujiingizia kipato kuliko  mwanzo ni kutokana na band yao hiyo ambayo amesema bado hawajaitangaza rasmi kuanza kwake kwa kuwa wako katika hatua za mwisho za kuweza kuirekebisha safu ya waimbaji na wapigaji ingaw amesema mpka sasawameshaanza mazoezi na kwa kuanza tu wataanza kupiga katika mahotel huku wakijipanga kuja kuanza kupiga sehemu mbali mbali.


0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...