WAY

Thursday, September 12, 2013

KALALA JONIOUR ASEMA TWANGA ALBUM 12 ZIMEWEZA KUTOKA KATIKA BAND HIYO KUTOKANA NA WATUNZI WENGI WALIOWEZA KUPITA KATIKA BAND HIYO NA HAKUNA HATA ALBUM MOJA KATI YA HIZO ILILIPULIA

Akizungumza na blog hii kuhusu show yao ya KALALA JUNIOUR amesema kutoa album kila kwa mwaka kwa twanga pepeta ni jambo ambalo limewezekana kutokana na watunzi wazuri wengi kupita katika band hiyo kwa kipindi tofauti na band nyingine kongwe ambazo zimekaa na wanamuziki kwa muda mrefu bila kuchanganya changanya ndio maana hata album zinakua chache ila twanga wamweza na pia ndio band ambayo imekomaa zaidi kiusanii kuliko band nyingine yoyote ya kisasa ukiachilia mbali za wazee wa zamani kama msondo na sikinde hakuna band nyingine iliyodumu kama twanga pepeta na ndio maana kuna watu wanaenda wanarudi na wasanii wengi hata walioanzisha band tofauti tofauti wamepitia twanga pepeta
Aidha amesema album ya nyumbani ni nyumbani ni album ambayo imekaa vizuri sana kutokana na mchanganyiko wa wasanii wanaunda safu ya wanamuziki wa twanga pepeta na kusema kuna wengine wamezidi kabisa kikazi.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...