WAY

Thursday, September 5, 2013

CRISTIAN BELLA AFUNGA ASEMA MALAIKA BAND HAITOKANI NA VICTORIA SOUND NA WALA HATAGEMEI KUCHUKUA WANAMUZIKI KUTOKA BENDI HIYO NA BAND HIYO IKO CHINI YAO ILA MKURUGENZI WA VICTORIA NI MMOJA WA WADHAMINI WA BAND YAO

KWA sasa anajulikana zaidi kama king of the melodies ambae alikua rais wa akudo impact na hatimaye kwa sasa kusimama kama solo project amefunguka na kuweza wazi kuwa ameajiriwa ili kutengeneza band ya pembeni ya vicoria sound na kuibadilishajina kuita malaika badn na kusema hilo suala sio la ukweli malaika band ni band inayojitegemea na wala haitokani na victoria na wala hafikirii kuchukua wanamuziki wa victoria labda waweze kuomba ili aweze kuwasajili kwa kuwa bado ypo kwenye mchakato wa kutafuta wasaidizi katika band hiyo wakiwemo wapigaji wapya na waimbaji wengine wa back up kwa kuwa band hiyo yeye,totoo,na andrew sekidia ndio waanzilishi na wamepweza kupata udhamini tu kutoka kwa wadau wa muziki iliwaweze kuendelea kufanya nao kazi na huku akisisitiza kuwa yeye ataendelea kubaki solo ila solo wa musiki wad dansi lazima uwe na kundi ambalo linakupa back up katika show na yeye kama mwanamuziki inamulazimu kufanya show nyingi sana live kwa kuwa kuimba kwa back up sio kiwango chake katika muziki.
aidha bella amesema mpka sasa hajafanya interview yoyote kuhusiana na band yao hiyo kwa kuwa kuna mambo bado wanaendelea kufatilia ila pia watu wajue kubme yeye hajaajiliwa ila wamepata mdhamini aliewapa vyombo ili waweze kufanya kazi pamoja kwa makubaliano maalum na wadhamini hao ni mkururgenzi wa zamani wa akudo bw michael na aliekua mkurugenzi wa victoria sound DANIEL DENGA 
 amesisitza kuwa malaika band haihusiani kabisa na victoria band.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...