WAY

Friday, September 6, 2013

WIMBO WA DIAMOND MY NUMBER ONE WAZIDI KUZUA KIZAZAA BAADA YA DYNA KULALAMIKA AMEIBIWA BEAT NA DIAMOND NA MKIGOMA MWENZIO BABA LEVO ASEMA DIAMOND KAMUIBIA CHOURUS YA WIMBO WAKE MPYA WA MY NUMBER

Huku ikiamina wana lekalutigite ni wamoja hivi karibuni umezika utata babada ya diaomnd kuachia wimbo wake wa my number one ambao ndio gumzo la mji kwa sasa mwanadada dyna alilalamika kuibiwa wimbo huo beat yake na alikua akitaka kufanya na diamond mwenyewe lakini mwisho wa siku kaja kuisikia kwenye wimbo huo wa diamond, hayo yakiwa bado ya moto mkigoma mwenzie waliokwenye kampuni moja ya kigoma all stars BABA LEVO ameibuka na kusema kuwa diamond kamuibia chourus ambayo walipanga kuimba wote kwenye wimbo wake mpya ambao alitaka kuutoa na kuuita SWITIE SWITIE lakin diamond kaiba kidogo na kuitengeneza my number one.
akizungumza na mimi leo baba levo anasema habari ya wimbo huo amekuja kuipata babada ya kuambiwa na baadhi ya wanachoa cha ifm ambaowalikuwa wa kwanza kuusikia huku yeye akiwa ameshawahi kuumba sehemu mbalimbali na hivyo na yeye kuwaomba aweze kuupata ili ausikilize na mwisho wa siku kaja kuusika baada ya kuuachia wimbo huo na ndipo alipamua kushatikia mashabiki wake kuwa DIAMOND kamubia chrous ya wimbo ambao yeye baba levo alitaka amshirikishe,

LAKINI nilipomuuliza kuwa diamond ni mmoja kati ya wana lekallutigite je aliweza kumtafuta kumuuliza aone anasemaje kuhusiana na hilo baba level kasema diaomond ndio wa kumtafuta yeya kwa kuwa anajua alichokifanya ila kwa sasa hawezi kusema lolote na wimbo huo aliotaka kuutoa meghairi na hawezi kuutoa tena kwa kuwa yeye ndio ataonekana kuwa amemuiga diamond,
huu ni wimbo wa pili ambao DIAMOND anashtumiwa kuuba wa kwanza ukiwa ule wa NATAKA KULEWA ambapo PASHA alikua ameshatolea wimbo wa AMEKUA.
 sasa hapa je DYNA NA BABA LEVO WANATAFUTA KICK KWA DIAMOND AU KWEL JAMAA ANAWEZA KUWA AMEIBA KWELI

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...