WAY

Tuesday, September 3, 2013

MKALI ALITEMBA NA STONO MUSICA AMBAE KWA SASA NI MWALIMU KUTOKA JUMBA LA VIPAJI T.H.T KARDINAN GENTO AACHIA NGOMA YAKE KAMA SOLO ASEMA HANA MPANGO WA KUANZISHA BAND KUIBUA ALBUM YAKE HIVI KARIBUNI

Mwanamuziki alitemba katika miaka ya 2000 KARDINAL GENTO ameachia ngoma yake baad ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kutoa wimbo lakini alishughulika zaid katika kuwaandalia wasanii kutoka jumbal avipaji t.h.t sasa ameamua kurudi tena kwenye medani ya muziki na ameweza kuachia ngoma moja aliyoipa jina la NYUMA YAKO na kusema huo ni utangulizi katika utambulisho wa album yake mpya ya UWEZO ambayo atairekodi katika mitindo tofauti tofauti ikiwemo rhumba,na bongo flver na style nyingine tofauti
gento amesema alikua kimya kwa kuwa alikua anatafakari kuweza kupunguza urefu wa nyimbo kwa kuwa zamani walikua wakirekodi dk nyingi sasa ili na yeye wimbo zake ziweze kupewa airtime ya kutosha ameona bora aje kivingine apige muziki wa kiafrica lakini ukiwa una dakika ambazo media nyingi zinataka na si hivyo tu ili isimchoze msikilizaji na vitu vingine
Ameongeza kuwa kwa sasa wadau wa muziki wampokee kama mwanamuziki baada ya kufanya kazi ya kuwanoa wasanii katika jumba la vipaji na sio kwamba ataacha ila ataendelea zaidi kufanya hivyo lakini wakti atkua akiendelea na kufanya muziki

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...