
HUKU wengi wakidhani kuwa kuondoka kwa kalala jounor mapacha watatu basi ndio mwisho wake hilo wamesema sio kweli na sasa wameachia wimbo mbili moja wakiwa wamemmshirikisha gwiji wa bongo flever ALLY KIBA ikipiewa jina la NAONEWA na nyingine ambayo wametoa video tu wakiwa wamemshirikisha malikia wa mipasho tanzania KHADIJA OMARY KOPA ambayo nyimbo hiyo ipo katika mahadhi...