WAY

Tuesday, October 23, 2012

ALLY CHOKI ALIA NA MEDIA KUUA SOKO LA MUZIKI WA DANSI ASEMA RADIO ZENGINE ZIMEAMUA KUVUNJA KABISA VIPINDI VYAO VYA MZIKI WA KIAFRICA. KUFANYA SHOW NNE MIKOA YA KUSINI

MKURUGENZI NA MUIMBAJI WA EXTRA BONGO NEXT LEVEL le KAMARADE ALLY CHOKI amesema kuwa media ndizo zinazochangia soko la muziki wa dansi kufa baada ya kuzipa kipaumbele nyimbo za mbele na bongo flever na kusahau muziki wa asili wa dansi na hivyo kufanya hata kutoa album wanakua wanasuasua kutokana na kukosa promo ya kazi zao kwenye radio au tv na hivyo kutegemea show zaidi ambazo wanapiga mikoani na kuweza kupata kipato kuliko mauzo ya album ambayo anasema kwa sasa yameshuka sana kusema zamani radio ilikua moja tu tena tanzania lakini bado nyimbo za nymbani kama msondo sikinde kina marijani walikua wanasika lakini kwa sasa radio ni nyingi lakini mzimki ndio haupewi kipaumbele kabisa.
Wakati huo huo extra bongo wanatarajia kufanya maonyesho kariobu manne kusini mwa tanzania katika mkoa wa lindi na mtwara ambapo wataanzia kilwa,ruangwa,masasi na kumalizia lindi mjini siku ya jumamosi na baadae mwezi wa kumi na mbili extra bongo wataenda kufanya birthday ndio siku ambayo watakwenda kuuza cd za albium yao mpya
                                    ROGERT HEGGA,BANZA STONE,ALLY CHOKI

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...