WAY

Monday, October 29, 2012

SNURA MUSHI ASEMA MAGAZETI YALIMZUSHIA KUANDAA MOVIES AMBAYO YEYE HAKUIONGELEA ,AWACHANA WANAOVAMIA FANI SIO WOTE WANAOFANYA MUZIKI WANAWEZA KUFANYA FILAMU NA SIO WOTE WANAFANYA FILAMU WANAWEZA KUFANYA MUZIKI,KWA HIYO WAACHE TAMAA

SNURA MUSHI sio jina geni masikioni au midomoni ai machoni mwa watu ni msanii aliewahi kutamba sana ndani ya jumba la dhahabu na sasa anatikisa katika ulimwengu wa muziki ambapo hivi karibuni nilipoongea nae kuhusiana na movie ambayo ilikua ikiongeleak sana kwa vyombo vya habari ambayo kwa juju juju ilijulikana kama UCHAFU WA MASTAR WA BONGO

                                                     SNURA NA WEMA
na kusema kuwa yeye alikua hajaanda movie kama hiyo ila magazeti kama kawaida yao ya uzushi na kusema kuwa tumemtafuta hakupatikana ndio walioanzisha kuandika story ya movie hiyo ambayo kwa mujibu wa snura amesema kwa amesimama kufanya movie hiyo na kiufupi tu kwa amesiama kucheza movies zake na atakua nashiriki tu kwenye movies tofauti tofauti.
AIDHA SNURA akiongelea game ya filamu amesmea kwa sasa kuna watu wachache ambao wnalipualipua kazi na mwisho wa siku tasnia ya filamu inaonekana ya watu fulani na movies wanazozitengeneza zinakua hazzzina  mashiko.
                                                    SNURA MZIGONI
KWA sasa SNURA anaetambana kibao chake cha SHOGA YAKE MAMA akiwa amemshirikisha WEMA SEPETU amesema wapo watu ambao wana tamaa ya kuvamia fani means mtu akijiona anatamba kwemye movies basi atataka na kuingia kwenye muziki wakati hana uwezo wa kuuimba na wengine wanatamba kwenye muziki wanaingia kwenye filamu wakati hawana uwezo ila wanaforce tu!
                                     MABEST HAO SNURA,WEMA,JACK WOLPER

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...