WAY

Wednesday, October 17, 2012

BAADA YA TOTOO ZE BINGWA NI ZAMU YA CRISTIAN BELLA ANADAIWA KUONDOKA BILA KUAGA NDANI YA BAND YA AKUDO IMPACT INASEMAKANA NA YEYE SIO TENA AKUDO IMPACT ILA TARSISI MASELA ASEMA AKUDO ITAENDELEA KUWEPO HATA IWEJE

Ukirudi nyumaa utaweza kukumbuka nyimbo kama SAFARI SIO KIFO,MAMA VANNESA,na nyingine nyingi zilizopigwa na akudo impact ambayo kwa siku za hivi karibun inaonekana kususa sua babada ya wanamuziki wake kila mmoja kuamua kufanya kazi kivyake na kundu kuwa pale pale lakini waanzilishi wawili wa kundi hilo kcristiana bella ambae pia alikua ni rais wa band NA TOTOO ZE BINGWA ambae nae alikua kiongozi wa band kusemekana kuachia ngazi baabda ya kwenda nchi za nje ambapo pia tayari ameshaachia kazi zake mbili moja ikiwa ni USILIE NA MSALITI ambazo zinafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya radio ambapo pia masema akiridi ataikamilisha album yake.

CRISTIAN BELLA MASAUTI
LAKINI kwa upande wake kiongozi wa AKUDO kwa sasa TARSIS MASELA JOTO amesema tayari wameshaongeza safu yao ya uimbaji na uchezaji kwa kuchukua wanamuziki wengine wapya  ambao watakuwepo kwenye nyimbo kadhaa ambazo watakwenda kuziweka kwenye album ya AKUDO ijayo ambayo tayari nyimbo nyingi zishakua tayri bado chache za wageni ambazo ziko mbioni kumalizika na baada ya hapo watakwenda kuzindua album yao kama kawaida ambayo itakua na nyimbo NANE

TARSIS alizitaja nyimbo zitakazokuwemo kwenye album hiyo ni UBINAFSI,USIWAFATE WAMBEA  NA MWIKO AMBAZO NI UTUNZI WAKE MWENYEWE,UMEJIFICHA WAPI,USIKATE TAMAA,UBINADAMU KAZI,PONGEZI KWA WANANDOA,UTAMU KUZIDI ASALI ambapo kwa sasa wanamalizia wimbo wa mwisho wa utamu kuzidi asali


 

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...