WAY

Monday, October 22, 2012

TUESDAY KIHANGALA .a.k.a MR CHUZI ASEMA WATANZANIA NDIO WANACHANGIA SOKO LA FILAMU KUWA LA WASANII WA AINA MOJA KUTOKANA NA KWENDA KUULIZA FILAMU KACHEZA NANI SIO MTUNZI NI NANI KWA HIYO WANAFATA WASANII SIO STORY,AACHIA RASMI SIRIES ZAJUMBA LA DHAHABU,RED APPLE IPO NJIANI

Msanii anemiliki kampuni ya kusambaza kazi zake na ku ndi la wasanii la tuesaday intertaiment amefunguka na kuweka wazi kuwa watanzania wengi hawaangalia story pindipo wanapoenda kununua filamu za kibongo na mwisho wa siku wanaenda kuuliza nia nani ka act na hivyo ma underground kukosa nafasi ya kuweza kuwavinara kutokana na tayari watanzania wana vinara wao ambao wanataka kuwaona wakicheza katika kila filamu hivi kufanya biashara ya filamu kuegemea upande mmoja kwa wale wanovuma tu.

                                                     MR.CHUZI
AIDHA MR CHUZI amesema kwa sasa ameamua kutoa tamthilia ya JUMBA LA DHAHABU katika mtindo wa siries kutoka na wadau wengi kuomba tamthilia hivyo lakini pia akiwa ni msanii wa kwanza kutengeneza siries tanzania ambazo zitakua zinapatika katika episode tofauti tofauti ambazo tayari JUMBA LA DHAHABU SEASON ONE EPISOD 1-8 kwa sasa ipo madukani.

MBALI  NA JUMBA LA DHAHABU pia yuko mbioni kuikamilisha siries nyingine ya RED APPLE lakini hayo yakiendelea pia kwa sasa ameshawakusanya wasanii wake wote wa TUESDAY FILM PRODUCTION kwa ajili ya kuigiza siries nyin gine ambayo amesema itakua moto zaidi na ambayo pia itaonyeshswa kwenye television ya taifa TBC ambayo itakwenda kwa jina la HIGH HILLS.
PIA MR CHUZI kutoka kwenye production yake ameachia movies moja kali ambayo inakwenda kwa jina MKALI MO ambapo ndani yake amemshirikisha gwiji wa uigizaji tanzania MZEE MAJUTO
Wakati MKALO MO ikiwa sokoni lakni vile vile kwa sasa anaanda filamu ambayo bajeti yake ni kubwa sana iliyochezwa kwenye mazingira ya baharini sana movies hiyo ikiitwa DIRTY GAME ambayo anasema itakuna ni kiboko kwatika action film kwa sababu ina michezo ya hatari sana
NDANI YA DIRTY GAME


0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...