WAY

Friday, October 19, 2012

BAADA YA KUFANYA SHOW YA VODACOM KARIBU MIKOA YOTE YA TANZANIA KWA MAFANIKIO MAPACHA WATATU WASASA WAREJEA DAR LEO KUTAMBULISHA WANAMUZIKI WATATU WAPYA VIPAJI TOKA MIKOANI WAKISINDIKIZWA NA ISHA MASHAUZI NDANI YA MANGO GARDEN

Mapacha watatu baada ya ziara mikoani ktk kuitangaza vodacom m-pesa..sasa 

wamerudi dar kwa kishindo kwa kuandaa bonge la show 

ya utambulisho wa wanamuziki wapya ambao ni..samaduu,john cena,papii 

pamba,hwa ni waimbaj madencerz ni mwamgeni na frank na 

show itfanyika mango garden tukisindikizwa na isha mashauzi..wanamuziki 

wetu wametoka bebdi za mitaani huko mikoani tulipo kua na ni 

wagen kabisa ktk jiji la dar nia na madhumuni kuchukua wanamuziki wa 

Toka mikoani  moja ikiwa ni kuwa hawataki beaf na  na maband mengine lakini 

pia kunyanyua vipaji vingine kutoka mikoani na pia kutengeneza band          

itakayokua tofauti na band nyingine 

                          MAPACHA WATATU KATIKA MUONEKANO MPYA

show ni ijumaa tar 19-10-2012 mango garden,mapacha ambayo kwa sasa 

inaongozwa na KHALID CHOKORAA,AJOSE MARA.JANUARY,KAMBI PAMOJA NA 

FIRST LADY WAO CATHERIN wanatikisa na vibao vyao kwa sasa cha naonewa 

ambacho wameshirikisha ALLY KIBA NA CHANZO WANAUME ambachO 

wameshirikisha malkia wa mipacsho tanzania KHADIJA OMARY KOPA

2 comments:

  1. #badest entertainer in the game hats off to u youngblood!keep up the good work have 'em guessing...one love!

    ReplyDelete
    Replies
    1. WOW BETTY THAX NO MATTER WAT FRND KIP IT VISIT U WILL SEE MO MYN!

      Delete

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...