WAY

Tuesday, October 16, 2012

JACOB STEVEN a.k.a J.B a.k.a DJ BEN a.k.a TAX DRIVER AMESEMA WASANII WANAOCHIPUKIA WAWE NA SUBIRA SIO KUKURUPUKIA UMAARUFU AU KUTAKA KUFANYA KAZI NA WATU MAARUFU BILA KUPITA HAUA ZINAZOTAKIWA,AJIFANANISHA NA DENZEL WASHINGTON NA KUSEMA HATA YEYE HAWEZI KUTAKA KUFANYA KAZI NA DENZEL GHAFLA GHAFLA LAZIMA AHANGAIKE KWANZA HATA WAO WALISOTOA IVO IVO,ASEMA FILAMU YAKE MPYA YA UKURASA MPYA NDIO FUNGA KAZI

GWIJI wa tasnia ya maigizo nchini anaetamba na filamu za DJ BEN,TAX DRIVER,NAENDA KWA MWANANGU na hivi sasa akiwa mbioni kuingiza sokoni moive yao mpya kutoka jerusalem iitwayo UKURASA MPYA ambayo ndani yake kutakuna na msanii BANANA ZORO, muingiza mkongwe DAVINA na IRENE PAUL wakati huo huo wakiwambioni kufanya movies nyingine.

                                     JACOB STEVEN KATIKA POZ TOFAUTI

akifunguka kuhusina na ubaguzi wa wao kutoshiriki katika au kukataa kufanya movies na underground amesema kila kitu kina process kwa hiyo itakua ngumu kwa wao kufanya hivi na vile vile wao kuwashirikisha underground kwenye filamu zao na inakua ngumu kuwachukua wengi kutokana na soko lilivyo sasa ambapo wasambazaji wanataka majina  makubwa katika uuzaji wa movies hizo.
                                                JACOB IN ACTION
AIDHA JB amefunga na kiusema wasanii wanaochipukia kutaka umaarufu kwa ghafla ndio matokeo yake yanawakuta mabalaa  ya kashfa na kutakwa kimapenzi kwa kuwa wanapupa na umarrufu huku akisema kuwa umaarufu huwa unakuja pole pole na kazi ndio inayoweza kumfanya msanii awze kutafutwa kwenye movie mara kwa mara na mwisho wa siku kuwa super star na kutoa mfano wakina jacline wolper kuwa nao wameanza chini mpka sasa wanapata hela nzuri basi na wengine wakitaka kutoka lazima wafate taratibu ambazo zitawafanya kujlikana kwa kazi si kama livyosasa wengi wao wakiwa wanakurupuka

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...