Msanii wa kike asiye na skendo mjini hapa MWANAIDI SUKA (MAINDA) amefunguka na kusema kitendo cha kutoa mimba kwa wasanii wa kike ni cha kawaida kabisa kwani usipofanya hivyo unaonekana hauko kwenye fashion,,,,Mainda alisema kuwa wasichana wamekuwa hawajihurumi pamoja na kuwa madhara wanayajua ikiwa wapo wengi waliopoteza maisha na wengine kutokuweza kuzaa kabisa kwa sababu hizo lakini hawakomi
Thursday, October 18, 2012
Home »
» KUTOA MIMBA KWA WASANI WA BONGO MOVIE NI KAMA FASHION-MAINDA
KUTOA MIMBA KWA WASANI WA BONGO MOVIE NI KAMA FASHION-MAINDA
Msanii wa kike asiye na skendo mjini hapa MWANAIDI SUKA (MAINDA) amefunguka na kusema kitendo cha kutoa mimba kwa wasanii wa kike ni cha kawaida kabisa kwani usipofanya hivyo unaonekana hauko kwenye fashion,,,,Mainda alisema kuwa wasichana wamekuwa hawajihurumi pamoja na kuwa madhara wanayajua ikiwa wapo wengi waliopoteza maisha na wengine kutokuweza kuzaa kabisa kwa sababu hizo lakini hawakomi
Related Posts:
msanii wa siku nyingi kaole aibukia mtwara ni monica apania kufanya maku...… Read More
DK CHENI APANIA KUTAFUTA MRITHI WAKE KATIKA MIKOA YA KUSINI MBIONI KUFANYA FILAMU STAR SEARCH MTWARA NA LINDI AAHIDI KUFANYA NAO KAZI BEGA KWA BEGA KWA HUKO NDIO KWAO,MBIONI KUINGIZA SOKONI FILAMU YAKE YA MAJANGA MSANII nguli wa maigizo tanzania ambae anatamba sana katika ulimwengu wa bongo filamu kwa sasa lakini alianzia mbali DK CHENI amesema kwa sasa yupo kimya kutokana na kuzongwa na kazi nyingi za biahara yake anazo fanya kwa sa… Read More
ROGER MUZUNGU WA FM ACADEMIA ASEMA AKIRUDI KUTOKA BELGIUM ANAKUJA NA WIMBO MKALI ZAIDI YA HESHIMA KWA WANAWAKE ALIOUTUNGA FM ACADEMIA SASA KUJA NA ALBUM YAKE BINAFSI ASEMA ITAKUA MOTO WA KUOTEA MBALI Wengi ukiwamwambia nyimbo gani unaifahamu ya fm academia hatosita kukutajia heshima kwa wanawake ambao ulifanya vizuri sana mtunzi wake akiwa ni roger molandayi MUZUNGU ambae kwa sasa yupo nchini BELGIUMakisomea lugha ya kid… Read More
SIKILIZA MAHOJIANI YA SINTAH AKIFUNGUKA KUHUSIANA NA KUTOKUA NA BIFU NA AUNT EZEKIEL … Read More
SINTAH ASEMA HATUMII WEBSITE YAKE KUWACHAFUA WATU ILA NAITUMIA KUANDIKA UKWELI MTUPU HATA WAKATI MWINGINE YEYE MWENYEWE YANAMTOKEA NA ANAANDIKA ASISITIZA HANA BIFU NA AUNT EZEKIEL ILA ASISITIZA ALIEMPKA MAKE UP AUNT NDIO ALIVURUGA MSANII wa kike mwenye makeke mengi katika tasnia ya filamu lakini pia ni mtayarishaji wa kipindi cha harusini na sintah na vile vile ni mmiliki wa website ya sintah.com afunguka na kusema kuwa wanaomshutumu kuwa anatumia web… Read More
.


0 comments:
Post a Comment