WAY

Thursday, October 18, 2012

KUTOA MIMBA KWA WASANI WA BONGO MOVIE NI KAMA FASHION-MAINDA



Msanii wa kike asiye na skendo mjini hapa MWANAIDI SUKA (MAINDA) amefunguka na kusema kitendo cha kutoa mimba kwa wasanii wa kike ni cha kawaida kabisa kwani usipofanya hivyo unaonekana hauko kwenye fashion,,,,Mainda alisema kuwa wasichana wamekuwa hawajihurumi pamoja na kuwa madhara wanayajua ikiwa wapo wengi waliopoteza maisha na wengine kutokuweza kuzaa kabisa kwa sababu hizo lakini hawakomi

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...