
Baada ya mwaka jana kushindwa kuzindua album yao kutokana na wasanii wengi ambao ni watunzi walikua nje ya nchi wakipiga miziki kwa mikataba maalum ambapo mikataba hiyo ikiwa inaelekea ukikongoni mwezi na hivyo kurejea bongo ndipo mkurugenzi na mwimbaji wa band hiyo DEO MWANAMBILIMBI alipofunguka kwa wanataka kuzindua album hiyo siku ya VALENTINE DAY ambayo ndio itakua...