WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Thursday, January 30, 2014

KALUNDE BAND KUZINDUA ALBUM YAO KWENYE KUTIMAMIZA MIAKA NANE YA BAND HIYO NI VALENTINE DAY PALE GIRRAFE,BOD RUDALA,SARAFINA MSHINDO,JUNIOR KUREJEA BONGO KWA AJILI YA UZINDUZI WAONGEZA MADANSA KUTOKA AKUDO

Baada ya mwaka jana kushindwa kuzindua album yao kutokana na wasanii wengi ambao ni watunzi  walikua nje ya nchi wakipiga miziki kwa mikataba maalum ambapo mikataba hiyo ikiwa inaelekea ukikongoni mwezi na hivyo kurejea bongo ndipo mkurugenzi na mwimbaji wa band hiyo DEO MWANAMBILIMBI alipofunguka kwa wanataka kuzindua album hiyo siku ya VALENTINE DAY ambayo ndio itakua...

Tuesday, January 28, 2014

ALIYEKUWA mwanamuziki mahiri wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' Soud Mohammed (MCD) amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya KCMC-Moshi.

ALIYEKUWA mwanamuziki mahiri wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta'  Soud Mohammed (MCD) amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya KCMC-Moshi. Taarifa kutoka ndani ya Twanga Pepeta usiku wa jana, zinasema kuwa MCD alikuwa amelazwa hopsitalini hapo kwa kusumbuliwa na akiwa anasumbuliwa na matatizo ya miguu. Inaelezwa kuwa mwanamuziki huyo aliyewahi kuwa...

Monday, January 27, 2014

BAADA YA UZINDUZI WA ALBUM YA NINI YA FM ACADEMIA LAKINI ALBUM YENYEWE HAIONEKANI MITAANI RASI WA FM ACADEMIA NYOSHI ELSAADAT ALITOLEA UFAFANUZI ASEMA WAMEPELEKA NYIMBO ZOTE NJE KUZIFANYIA MASTERING ILI KUEPUKA MAHARAMIA LAKINI PIA NI KATIKA KUWAPA WATU HAMU YA KUITAFUTA ALBUM ILI KIINGIA SOKONI IPAPATIKIWE ASEMA HIYO NDIO STYLE YAO MPYA KATIKA BIASHARA YA MUZIKI

Licha ya tar 21-dec 2013 Kuizindua rasmi album ya CHUKI YA NINI pale mzalendo pub lakini album hiyo hiyo imekua ikiuliziwa na mashabiki kwa kuwa kila wakienda sokoni hawaipati na wala kwenye maonyesho ya fm academia pia hawaipati zaidi ya kupata nyimbo hizo live,kutokana na hili nikaona nimtafute rais wa fm academia NYOSHI EL SADAAT SAUTI YA SIMBA ili aweze kulitolea ufafanuzi...

Thursday, January 23, 2014

TWANGA PEPETA YAHAIRISHA ZOEZI LA KUPUNGUZA WANAMUZIKI SASA WAAMUA KUBAKI NAO ILA ATAKAEPATA SEHEMU NYINGINE HAKATAZWI KUONDOKA MWAKU HUU KUTOTOA ALBUM YOYOTE ZAIDI YA SINGO-MANENO YA RAIS WA BAND MAAMA LUIZA NYONI MBUTU

akiongea na blog hii ya abracadabra LUIZA MBUTU nilipomuuliza kuhusiana na zoezi la kutengeneza band kwa kupunguza wanamuziki wambao wanaonekana mzigo kwa band kwa kuongeza gharama bila kuwa na kazi yoyote luiza mbutu amesema mkurugenzi wa band hiyo ameghairi kufanya hivyo kutokana na kila mtu anaemgusa kulia na matatizo yake na kuogopa kuaibika kutokana na kujipanga kimaisha...

Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kupitia barabara ya Dodoma hadi Dar es Salaam yamesitisha safari hizo kutokana na kuvunjika kwa daraja la eneo la Dumila mkoani Morogoro.

 Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kupitia barabara ya Dodoma hadi Dar es Salaam yamesitisha safari hizo kutokana na kuvunjika kwa daraja la eneo la Dumila mkoani Morogoro. Kutokana na mabasi hayo kukataisha safari zake  abiria wanaopita njia hiyo wamepata wakati mgumu kutafuta usafiri wa kufika huko, huku nauli za mabasi zikiwa juu. Akizungumza na kituo hiki, Wakala Mkuu wa mabasi katika stendi ya Mkoa wa Dodoma, Rashidi Zuberi...

HILI NDIO TAMKO LA CHAMA CHA MAPINDUZI KUHUSU MAWAZIRI MIZIGO PAMOJA NA TAMKO LA UTEUZI WA MAWAZIRI WAPYA SOMA HAPA

Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao,kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuimarisha Chama mikoani. Utaratibu huu ni agizo la mkutano mkuu wa Taifa wa nane wa CCM uliofanyika Novemba 2012 mjini Dodoma. Nanukuu azimio...

MAJERUHI WA AJALI YA ILIYOHISHA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI SABODO WANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUPATA MATIBABU BAADA YA KUPATA MATIBABU KATIKA HOSPITAL YA LIGULA MKOANI MTWARA.

Majeruhi wa ajali ya iliyohisha wanafunzi wa shule ya sekondari sabodo wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu baada ya kupata matibabu katika hospital ya ligula mkoani mtwara. Wakiongea na safari radio baadhi ya wanafunzi hao ambao wamejeruhiwa wameelezea hali zao zinavyoendelean a pia jinsi ya tukio lilivyokuwa Aidha wazazi na wauguzi wa majruhi hao wameshukuru madaktari nawauguzi wa hosptali ya ligula kwa kuweza kuwahudumia wanafunzi hao...

Tuesday, January 21, 2014

JE WAJUA? ALLY CHOKI ILIMLAZIMU KULALA CCM SEHEMU ZA KUOGESHEA MAGARI WAKATI ANATAFUTA KUTOKA KIMUZIKI ASEMA HATA BAADA YA KUMALIZA SHULE ALIEDNELEA KUTUMIA UNIFORM ILI AWEZE KUPANDA DALADALA KWA BEI RAHISI AKAPIGE MIZIKI DAR KUTOKA KIBAHA nNA LEO NDIO MKURUGENZI WA EXTRA BONGO

Leo katika je wajua mkurugenzi wa EXTRA BONGO le kamarade ally choki amesimuli alipotokea katika muziki na changamoto alizokutana nazo katika muziki ni pamoja kuweza kulala katika sehemu za maegesho ya magari tena usiku mnene na kuamika asubi sana kuendelea na harakati zingine mpka alipoweza kupata band katika miaka ya 87 na kuanza kuimba na mwisho wa siku kuweza kuelekea...

Wazazi wilayani MASASI wametakiwa kuipa eilimu kipaumbele

MASASI 20/1/2014 Wazazi wilayani MASASI wametakiwa kuipa eilimu kipaumbele,sambamba na kuacha mitazamo hasi na potofu. Hayo yameelezwa na mwalimu mkuu wa  shule ya msing CHIGUGU wilayani Masasi Bw.YOHANA ABUNUAS wakati akizungumza na safari radio ofisini kwake. ABUNUAS amesema miongoni mwa changamoto kubwa wanazo kumbanana nazo wilayani Masasi ni mwamko mdogo wa wazazi wa kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wao,kama wazazi wataipa elimu...

Vijana wilayani Lindi wametakiwa kujiunga na vikundi mbalimbali vya uzalishaji mali ili kuweza kujipatia fursa ya kujikwamua kimaisha

Vijana wilayani Lindi wametakiwa kujiunga na vikundi  mbalimbali vya uzalishaji mali ili kuweza kujipatia fursa ya kujikwamua kimaisha  badala ya kujiingiza kwenye makundi ambayo hayana tija.   Wito huyo umetolewa na mkuu wa wilaya Lindi Dk Nasoro Himidi wakati alipofunga mafunzo ya  ujasilimali Kata ya Chiponda jimbo la Mtama yaliyodhaminiwa na mbunge wa jimbo hilo Bernard Membe.   Dk Nassoro alisema...

Kaya zaidi 60 katika kijiji cha Mtama jimbo la Mtama wilaya Lindi zimekosa makazi kufuatia nyumba zao kubomolewa na mvua iliyoambatana na upepo.

Kaya zaidi 60 katika kijiji cha Mtama jimbo la Mtama wilaya Lindi zimekosa makazi kufuatia nyumba zao kubomolewa na  mvua iliyoambatana na upepo.   Mkazi wa kijiji hicho Zainabu Isa alisema kwamba mvua hiyo ilianza kunyesha zaidi ya masaa saba kuanzia saa 9 alasiri hadi saa 5 usiku na kusababisha hasara ya kuharibu nyumba na chakula ambayo thamani yake haijatambulika hadi sasa,   zainabu alisema wakati mvua hiyo inanyesha...

Monday, January 20, 2014

JUICE YA MACHUNGWA MKALI ALIEKUA ANAUNDA DIAMOND SOUND ALIA NA BEN KINYAINYA ASEMA ALIMPA LAKI NNE LAKINI HAKUPIGA NYIMBO YAKE NA MWISHO WA SIKU AKASEMA UZALENDO KWANZA SASA AIBUKA NA BAND YAKE AKIITA THE BEST 4 BYE 4

JINA la JUICE YA MACHUNGWA si geni katika masikio ya watu na hasa kama umeifuatilia diamond sound international ambayo iliweza kutamba na wimbo wake wa MAPENZI KITU GANI,ambapo kipande chake cha sasa umefika muda wa kuchezaaaaa............... na baada ya kufariki kwa aliekuwa mkurugenzi wa band hiyo ndipo band hiyo ilipoanza kusuasua na mwisho wa siku kugawanyiika na kuwa...

Friday, January 17, 2014

BAADA YA AHADI NYINGI ZA UZINDUZI WA BAND NA ALBUM SASA MANGUSTINO AFUNGUKA KILICHOSABABISHA KUTOKAFANIKISHA SUALA HILO ILA ASEMA MWAKA HUU NI ZAMU YA K MONDO SOUND

Akiongea na blog hii kiongozi wa band ya K.MONDO sound ameweka wazi kilichosababisha kushindwa kufanya uzinduzi wa band ya k mondo pamoja na uzinduzi wa album ya MAGAMBO na kusema ni maswala ya kiutawala yalikuwa hayajakamilika sasa ikabidi mmiliki wa band hiyo aweze kuahirisha zoezi hilo mpka ambapo amepata uongozi wa kiutalawa ambao unaweza kumuongoza katika kuzindua...

Wednesday, January 15, 2014

BAADA YA KUPIGA MZIKI KATIKA FALME ZA KIARABU BONZO KWEMBE AREJEA BONGO KUENDELEZA LIBENEKE SASA KUACHIA ALBUM NNE KWA MPIGO HATARI

MCHARAZAJI gitaa maarufu nchini aliyewahi kuzipigia bendi mbalimbali ndani na nje ya nchi, Ismail Kwembe 'Bonzo Kwembe' anayemiliki bendi binafsi iitwayo 'The Bokwe Tunes Band' anajiandaa kuingia studio kurekodi albamu yake ya kwanza tangu ajitegemee (solo artist).Bonzo aliiambia MICHARAZO kuwa, albamu hiyo itakayokuwa na nyimbo nne itapigwa katika miondoko...

Tuesday, January 14, 2014

TOTOO ZE BINGWA AFUNGUKA KUHUSIANA NA WALIOFUKUZWA MALAIKA BAND ASEMA MANENO MANENO YAMEWAPONZA NA KUVIMBA KICHWA NA VIJIPESA VIDOGO NDIO VIMEWAPONZA NA KUWA WATOVU WA NIDHAMU ASEMA MALAIKA BAND BADO INASONGA

Kiongozi wa Malaika band Totoo za bingwa amefunguka rasmi kuhusiana na waliofukuzwa ndani ya band ya malaika band na kisa kizima ni kuwa wanamuziki hao walijidanganya kuwa wao ni wzuri baada ya kusifiwa nao na ndio maana wakaanza kuvimba kichwa na kuwa watovu wa nidhamu kiasi ya kwamba wakataka kuwalizimisha viongozi hao kufanya wale wanayotaka wao na mwisho wa siku ndipo...

BANZA STONE KUREJEA JUKWAANI TAR 25 KUTAMBULISHWA RASMI NA EXTRA BONGO MBIONI KUREKODI MEGA MIX YAKE

Baada ya kuoguakwa muda mrefu na sasa akiwa anarejea katika hali yake banza stone amezana mazoezi na band yake ya extra bongo huku akitarajiwa kuweza kureja rasmi ulingoni kwenye jukwaa hilo kwa utambulisho rasmi utaoafanyika katika ukumbi qwa nyumbani wa meenda sinza ambapo kwa mujibu wa kamarade ally choki mkurugenzi wa extra bongo amesema kwa sasa  banza yupo katika...

Monday, January 13, 2014

MAFAHARI WATATU MBIONI KUTOA ALBUM YAO BINAFSI NI ALLY CHOKI,BANZA STONE,NA MUUMINI MWINJUMA WASEMA WAMESHAPATA MDHAMINI WANATAKA KURUDISHA ENZI

Akiongea kwa niaba ya wenzake mkurugenzi wa extra bongo le kamarade ally choki amefunguka na kuweka wazi baada ya kufanya show kanda ya ziwa kama mafahari watatu yaani banza stone,muumini mwinjuma pamoja na ally choki na kusema sio show hiyo tu kuwa kuna muendelezo mwingine wa kueza kutoa album yao binafsi baada ya kupata mdhani ambae ni YUSUPHEN na kusema mwaka huu hauwishi...

Tuesday, January 7, 2014

KANAL TOP YUPO VIZURI NA ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE KAMA KAWAIDA

Nikiongea na Tarsis masela joto ambae ni rais wa akudo impact amesema habari za canal topo kuwa anaweza kuwa amekamatwa china na amehukumiwa kifo ni za uongo kwa kuwa yeye anawasiliana na mke wake ambae kwa mujibu wa masela kuwa wameweza kuwasiliananae hvi karibuni na yupo hai ila amesema watu wanapenda kusambaza habari bila kuwa na uhakika wa kutosha lakini pia katika utafutaji...

Monday, January 6, 2014

RAIS WA SASA WA AKUDO TARISIS MASELA JOTO MKURUGENZI WA FASHION AFUNGUKA KUHUSU MPANGO WA AKUDO IMPACT 2014 ASEMA KWA SASA HAWATOI SINGLE TENA MPAKA PALE UONGOZI UTAKAPOKUBALI KUZINDUA ALBUM KWA KUWASHAPELEKA NYIMBO NYINGI RADIONI PIA ASEMA CHUKI NDIO ZINAUA MUZIKI WA DANSI

Tarsis masela mmoja kati ya wanzilisha wa akudo impact amefunga na kuweka wazi mipango ya akudo impact ambayo wengi wanadhani imezama lakini yeye asema bado wako vizuri na kila wakipiga show wanajaza watu kama kawaida kwa kuwa wana nyimbo nyingi nzuri na za kutosha na nyingi zikiwa zinachezwa kwenye vituo mbalimbali vya radio,lakini amesema kitu kilichokua kinasimamisha kazi...

Thursday, January 2, 2014

ABRACADABRAAAA YA KALALA JUNIOR HAKUNAGA AFUNGUKA KUHUSU KITU AKICHUKIACHO AKIWA KATIKA TASNIA YA MUZIKI WA DANSI

Akizingumza na blog hii KALALA JUNIOR a,k.a HAKUNGA aliweza kufunga kitu ambacho wengi hawakijui ni pamoja kuwa ndoto zake kubwa kwa sasa ni kuwa producer wa muziki wa aina zote na ndicho anachopigania sana kwa sasa licha anaendelea kuimba miziki tofauti na akiamia hizo ndoto anaweza kuzitimiza wakati wowote atakapokuwa tayari kuanzia mwaka huu. 2.Kitu ambacho amesema anakichukia...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...