WAY

Monday, January 6, 2014

RAIS WA SASA WA AKUDO TARISIS MASELA JOTO MKURUGENZI WA FASHION AFUNGUKA KUHUSU MPANGO WA AKUDO IMPACT 2014 ASEMA KWA SASA HAWATOI SINGLE TENA MPAKA PALE UONGOZI UTAKAPOKUBALI KUZINDUA ALBUM KWA KUWASHAPELEKA NYIMBO NYINGI RADIONI PIA ASEMA CHUKI NDIO ZINAUA MUZIKI WA DANSI

Tarsis masela mmoja kati ya wanzilisha wa akudo impact amefunga na kuweka wazi mipango ya akudo impact ambayo wengi wanadhani imezama lakini yeye asema bado wako vizuri na kila wakipiga show wanajaza watu kama kawaida kwa kuwa wana nyimbo nyingi nzuri na za kutosha na nyingi zikiwa zinachezwa kwenye vituo mbalimbali vya radio,lakini amesema kitu kilichokua kinasimamisha kazi za akudo kwenda mbele ni uongozi ambao toka mwaka jana walikuwa wanaahidi kuzindua album hiyo ambayo waliipa jina la historia no change lakini mwisho wa siku hadi mwaka umeisha bila kukamilisha dhamira yao na sasa amesema tayari amekwisha ongea na uongozi wa band kwa sasa hawatatoa single tena mpka pale uogozi utkapokubali kuizindua album hiyo,



mbali ya hilo pia amesema chuki na fitina ni kitu ambacho hakipnendi katika muziki wa bongo na ndio kinachofanya muziki usiende mbele kwa sababu kuwa watu wanatazama kuziua band nyingine lakini sio kutoa ushirikiano wa kuinua muziki mwisho wa siku band nyingi zinakua na uhasama badala ya kuwa na mapenzi mema ya utafutaji katika muziki,

lakini pia amesema kwa sasa show za akudo ziko kama kawaida na wanapiga karibu kila mahali na sasa hvi wanatafuta wadhamani ili waweze kuzunguka mikoani kwa ajili ya kuweza kuzitambulisha nyimbo zao mpya na wanamuziki wao wapya ambao wameongeza nguvu katika safu ya uimbaji

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...