WAY

Tuesday, January 14, 2014

BANZA STONE KUREJEA JUKWAANI TAR 25 KUTAMBULISHWA RASMI NA EXTRA BONGO MBIONI KUREKODI MEGA MIX YAKE

Baada ya kuoguakwa muda mrefu na sasa akiwa anarejea katika hali yake banza stone amezana mazoezi na band yake ya extra bongo huku akitarajiwa kuweza kureja rasmi ulingoni kwenye jukwaa hilo kwa utambulisho rasmi utaoafanyika katika ukumbi qwa nyumbani wa meenda sinza ambapo kwa mujibu wa kamarade ally choki mkurugenzi wa extra bongo amesema kwa sasa  banza yupo katika hatua za kufanya mazoezi zaidi kwa kuwa hali ya imezidi kuimarika kidogo na toka wafanye ziara kanda ya ziwa ambapo alikuwa asimama kwa muda mfupi jukwanii lakini kiwango chake cha sauti kikiwa kimerudi kawaida kabisa sasa kutokana na mtababu aliyopata mpaka jumamosi ya tar 25 anaweza kuwa tayari kuvamia jukwaa kwa muda mrefu kidogo kwa ajili ya kuwaonyesha show mashabiki
na kutokana na kupata mdhamini anatarijiwa kurekodi mega mix ya nyimbo alizowahi kutunga kipindi cha nyuma ikiwe elimu ya mjinga,mtaji wa masikini,mtu pesa, na nyingine nyingi zilizowahi kutamba katika kipindi cha nyuma

                                    LE GENERALY BANZA STONE
 Banza stone ni mmoja ya wanamuziki walioweza kusimamisha mziki wa dansi na kutamba sana na mpaka akweza kuchukua tuzo mbali mbali ikiwemo ile ya bbc ambayo ailiipata kupitia wimbo wa mtu pesa wakati yupo twanga pepeta na pia alikwishachukua best male vocalist katika kilimanjaro music award

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...