WAY

Friday, January 17, 2014

BAADA YA AHADI NYINGI ZA UZINDUZI WA BAND NA ALBUM SASA MANGUSTINO AFUNGUKA KILICHOSABABISHA KUTOKAFANIKISHA SUALA HILO ILA ASEMA MWAKA HUU NI ZAMU YA K MONDO SOUND






Akiongea na blog hii kiongozi wa band ya K.MONDO sound ameweka wazi kilichosababisha kushindwa kufanya uzinduzi wa band ya k mondo pamoja na uzinduzi wa album ya MAGAMBO na kusema ni maswala ya kiutawala yalikuwa hayajakamilika sasa ikabidi mmiliki wa band hiyo aweze kuahirisha zoezi hilo mpka ambapo amepata uongozi wa kiutalawa ambao unaweza kumuongoza katika kuzindua band hiyo pamoja na album kwa mwaka huu kabla ya kufika mwezi wa sita na kusema kawaida ya nyimbo za band huwa zinachelwa kuhits na hivyo wataweza kuzindua album yao ambayo toka mwaka jana imeshaisha kwa kuwa kwa sasa ndio nyimbo zake zimeanza kufanya vizuri katika media mbalimbali kwa hiyo mpka siku ya uzinduzi basi nyimbo zitakuwa zimeshaeleweka vichwani kwa wapenzi wa k mondo sound ambapo kwa mujibu wa mangustioni akisema kuwa band yake mpka sasa ni band ya pekee katika medani ya band zinazopiga katika makumbi tofauti na kusema mwaka huu wataanza kupiga show zao sehemu tofauti tofauti na mwaka jana ambapo walikuwa wanapiga maeneo mawili tu kwa ila kwa sasa wamejipanga kujitanua zaidi na kuweza kufanya vizuri na kuwa gumzo la jiji la dar-es-salaam,

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...