WAY

Tuesday, January 7, 2014

KANAL TOP YUPO VIZURI NA ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE KAMA KAWAIDA

Nikiongea na Tarsis masela joto ambae ni rais wa akudo impact amesema habari za canal topo kuwa anaweza kuwa amekamatwa china na amehukumiwa kifo ni za uongo kwa kuwa yeye anawasiliana na mke wake ambae kwa mujibu wa masela kuwa wameweza kuwasiliananae hvi karibuni na yupo hai ila amesema watu wanapenda kusambaza habari bila kuwa na uhakika wa kutosha lakini pia katika utafutaji mungu nae ana mipango yake ila kwa swala kuwa canal top amekamatwa china ni habari ambazo hazina uhakika na kusema kuwa canal top anaendelea na biashara zake ambazo tofauti na muziki kama kawaida
KANAL TOP ME AND TARSIS MASELA

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...