WAY

Monday, January 13, 2014

MAFAHARI WATATU MBIONI KUTOA ALBUM YAO BINAFSI NI ALLY CHOKI,BANZA STONE,NA MUUMINI MWINJUMA WASEMA WAMESHAPATA MDHAMINI WANATAKA KURUDISHA ENZI

Akiongea kwa niaba ya wenzake mkurugenzi wa extra bongo le kamarade ally choki amefunguka na kuweka wazi baada ya kufanya show kanda ya ziwa kama mafahari watatu yaani banza stone,muumini mwinjuma pamoja na ally choki na kusema sio show hiyo tu kuwa kuna muendelezo mwingine wa kueza kutoa album yao binafsi baada ya kupata mdhani ambae ni YUSUPHEN na kusema mwaka huu hauwishi lazima wawe wamekwisha toa album hiyo ambayo amesema bado haijajulikana itakua na nyimbo ngapi lakini wapo katika mpango huo lakini wataandaa show maalum kwa ajili ya mafahari hao watatu jijini dar-es-saalaam ili kuwakumbusha watu jinsi dansi ilivyoweza kusimama  kipindi hicho na kusema kwambabado wanauwezo wa kufanya kama zamani tu
                        LE KAMARADE ALLY CHOKI

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...