WAY

Tuesday, January 14, 2014

TOTOO ZE BINGWA AFUNGUKA KUHUSIANA NA WALIOFUKUZWA MALAIKA BAND ASEMA MANENO MANENO YAMEWAPONZA NA KUVIMBA KICHWA NA VIJIPESA VIDOGO NDIO VIMEWAPONZA NA KUWA WATOVU WA NIDHAMU ASEMA MALAIKA BAND BADO INASONGA

Kiongozi wa Malaika band Totoo za bingwa amefunguka rasmi kuhusiana na waliofukuzwa ndani ya band ya malaika band na kisa kizima ni kuwa wanamuziki hao walijidanganya kuwa wao ni wzuri baada ya kusifiwa nao na ndio maana wakaanza kuvimba kichwa na kuwa watovu wa nidhamu kiasi ya kwamba wakataka kuwalizimisha viongozi hao kufanya wale wanayotaka wao na mwisho wa siku ndipo uongozi ulipoamua kuwasimamisha mpaka pale watakapojirekebisha lakini mwisho wa siku wakaanza maneno ya kuwavunjia heshima ndipo totoo ze bingwa akiwa kiongozi alipoamua kuwafukuza kabisa na kusema hawezi kufanya nao kazi tena na band kwa kuwa ni ya watu watatu cristian bella,totoo ze bingwa na andrew sekidia kwa hiyo wanamuziki waliowachukua ilikua kama kufanya back up ya uimbaji lakini mwisho wa siku na wao wakataka kujifanya ni wenye band wak hiyo malaika band itaendelea


Mbali na hilo pia amelalamikia vyombo vya habari watu wanaoandika blog kwa kuandika maneno ya kupotosha ili kuwachafua lakini kwa kufanya hivyo hawaharibu bali wanawafanya wazidi kusonga mbele zaidi.

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...