WAY

Thursday, January 23, 2014

TWANGA PEPETA YAHAIRISHA ZOEZI LA KUPUNGUZA WANAMUZIKI SASA WAAMUA KUBAKI NAO ILA ATAKAEPATA SEHEMU NYINGINE HAKATAZWI KUONDOKA MWAKU HUU KUTOTOA ALBUM YOYOTE ZAIDI YA SINGO-MANENO YA RAIS WA BAND MAAMA LUIZA NYONI MBUTU

akiongea na blog hii ya abracadabra LUIZA MBUTU nilipomuuliza kuhusiana na zoezi la kutengeneza band kwa kupunguza wanamuziki wambao wanaonekana mzigo kwa band kwa kuongeza gharama bila kuwa na kazi yoyote luiza mbutu amesema mkurugenzi wa band hiyo ameghairi kufanya hivyo kutokana na kila mtu anaemgusa kulia na matatizo yake na kuogopa kuaibika kutokana na kujipanga kimaisha pamoja na mjuku mengine ya kifamilia hivyo imebidi awaache na kuendelea kuwa nao mpka kila mmoja atakapoona amepata sehemu ya kujishikiza basi ni ruhusa kufanya hivyo na kusema wote waliosimamishwa wamerudishwa kazini kama kawaida.


Akiongea kuhus kutoa album kama kawaida ya twanga kwa kila mwaka amesema kwa mwaka huu hawezi kutoa tena album bali wataweza kutoa singo ili kuweza kuipisha album ya nyumbani ni nyumbani kufanya vizuri katika soko baada ya serikali kuweka mfumo mzuri wa uuzwaji wa wa kazi za wasanii kwa sasa hviyo wapenzi wa twanga wategemee sana kupata singo za twanga badala album kama walivyozoea kupata miaka yote iliyopita

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...