WAY

Thursday, January 23, 2014

MAJERUHI WA AJALI YA ILIYOHISHA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI SABODO WANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUPATA MATIBABU BAADA YA KUPATA MATIBABU KATIKA HOSPITAL YA LIGULA MKOANI MTWARA.

Majeruhi wa ajali ya iliyohisha wanafunzi wa shule ya sekondari sabodo wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu baada ya kupata matibabu katika hospital ya ligula mkoani mtwara.
Wakiongea na safari radio baadhi ya wanafunzi hao ambao wamejeruhiwa wameelezea hali zao zinavyoendelean a pia jinsi ya tukio lilivyokuwa
Aidha wazazi na wauguzi wa majruhi hao wameshukuru madaktari nawauguzi wa hosptali ya ligula kwa kuweza kuwahudumia wanafunzi hao kwa umakini katika kuokoa maisha yao.
Jana asubuhi Wanafunzi wa watano  wa shule ya sekondari sabodo walifariki dunia  katika ajali ya gari iliyotokea kijiji cha msijute halmashauri ya mtwara vijijini.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa mtwara zelothe steven amesema ajali hiyo imelihusisha gari namba T-174AEB Mercedes benz lililokuwa likitokea manispaaa ya mtwara kuelekea lindi likiendeshwa na dereva bw. Bakari mgwegwe.
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya mkoa wa mtwara bw WILMAN NDILE amesema tukio hilo limewashtua sana na kwa sasa wameshaunda kamati ya kuweza kushughulia mazishi ya wanafunzi hao.

MWISHO

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...