WAY

Thursday, January 30, 2014

KALUNDE BAND KUZINDUA ALBUM YAO KWENYE KUTIMAMIZA MIAKA NANE YA BAND HIYO NI VALENTINE DAY PALE GIRRAFE,BOD RUDALA,SARAFINA MSHINDO,JUNIOR KUREJEA BONGO KWA AJILI YA UZINDUZI WAONGEZA MADANSA KUTOKA AKUDO

Baada ya mwaka jana kushindwa kuzindua album yao kutokana na wasanii wengi ambao ni watunzi  walikua nje ya nchi wakipiga miziki kwa mikataba maalum ambapo mikataba hiyo ikiwa inaelekea ukikongoni mwezi na hivyo kurejea bongo ndipo mkurugenzi na mwimbaji wa band hiyo DEO MWANAMBILIMBI alipofunguka kwa wanataka kuzindua album hiyo siku ya VALENTINE DAY ambayo ndio itakua siku ya birthday ya band ya kutimiza miaka nane tangu kuaznishwa kwake na huku wakitarajia album hiyo kuwa na nane wakiongeza nyimbo mbili zaidi moja ikiwa rhumba na nyingine chakacha,


DEO amesema wasanii walionda nje ya nchi kwa ajili ya kazi ya kimuziki anatarajia kurudi bongo kasoro mpiga gita mmoja ndio hataweza kurudi kutokana na kubwana na mktaba wa band yake nchini malysia,lakini BOB RUDALA aliekuwa sweeden atarudi soon na SARAFINA MSHINDO aliebangladesh nae atarudi na JUNIOR GRINGO alieko ITALIA nae yuko mbioni kurudi kwa ajili ya uzinduzi huo huku deo akijatamba kwa kuongeza safu ya mashumbulizi katika show kwa kuongeza wacheza show waili kutoka AKUDO IMPACT lakini pamoja na muimbaji mmoja kutoka LAVENT ya morogoro,

0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...