WAY

Thursday, January 2, 2014

ABRACADABRAAAA YA KALALA JUNIOR HAKUNAGA AFUNGUKA KUHUSU KITU AKICHUKIACHO AKIWA KATIKA TASNIA YA MUZIKI WA DANSI

Akizingumza na blog hii KALALA JUNIOR a,k.a HAKUNGA aliweza kufunga kitu ambacho wengi hawakijui ni pamoja kuwa ndoto zake kubwa kwa sasa ni kuwa producer wa muziki wa aina zote na ndicho anachopigania sana kwa sasa licha anaendelea kuimba miziki tofauti na akiamia hizo ndoto anaweza kuzitimiza wakati wowote atakapokuwa tayari kuanzia mwaka huu.

2.Kitu ambacho amesema anakichukia saana katika tasnia ya muziki wa dansi ni pamoja na wasanii kutojitambua wao ni kina nani na ndio mwisho wa siku wanafanya mambo ya ajabu ajabu yanayowafanya kudharaulika mbele za jamii nyingine zinazowatazama wao kama kioo cha jamii

3,KALALA juniour anasema kitu ambacho kamwe hawezi kukisahau maisha mwake katika kuelekea mafaniko yake ya muziki ni siku aliweza kurekodi kwa mara ya kwanza na baba yake ni pindi tu Mzee KOMANDO HAMZA KALALA alipokimbiwa na wanamuziki wake kina CHRISTIAN SHEGGY na yeye ndipo alimwambia baba ake hata yeye ni mwanamuziki ataweza kuziba pengo hilo ndipo mzee kalala alipoweza kumruhusu kungia kwenye muziki moja kwa mojan a huku akiikumbuka nyimbo amabyo alianza kuirekodi ni ile ya TANGU LINI NGOZI YA KITI MOTO IKAWAMBWA NGOMA
  KALALA kwa sasa anajipanga kuzindua album yake binafsi ambayo kabla ya kuisha mwaka 20014 atakua maekiwsha izindua.


0 comments:

Post a Comment

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...