WELCOME TO GMBONGO BLOG

To keep the body in good health is a duty... otherwise we shall not be able to keep our mind strong and clear.

WAY

Friday, November 30, 2012

J.B SALVAROLA BA SWAHILI BINADAMU SHTUKA SUVERAIN PRIMIER NA MASHUJAA MUSIC BAND KUFANYA BALAA LEO NDANI YA LEADERS CLUB NI KATIKA UZINDUZI WA ALBUM YA RISASI KIDOLE YA MASHUJAA MUSIC BAND

MASHUJAA BAND a.k.a Wazee wa KIBEGA, wanakuletea uzinduzi wa album yao ya pili ya RISASI KIDOLE wakiwa na mwanamuzi gwiji kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo si mwingine bali ni JB MPIANA akiwa na kundi zima la WENGE BCBG leo siku ya ijumaa katika viwanja vya LEADERS CLUB kuanzia saa 2 usiku. Ni siku ambayo mpenzi wa muziki wa dansi hutaisahau kwani JB MPIANA ameapa...

MSAKO WA POLISI WAKISADIANA NA WANANCHI SONGA KIBAONI WASAIDIA KUVIPATA VITU VYA MAREHEMU HUSSEIN MKIETI a.k.a SHAROMILIONEA IKIWEMO SIMU NA VITU VINGINE AMBAVYO VILIIBIWA BAADA YA AJALI

BAADA ya watu wasio na  huruma ambao walishindwa kutoa msaada kwa marehemu sharomilionea katika kumuokoa na kuona ni bora vitu alivyokua navyo wakavichukua lakini baada ya uchunguzi wa polisi kwa kushirikiaana na wananchi na kuweza kupitisha msako mkali baadhi ya vitu vilivyochukuliwa katika tukio hilo vimepatikana. AKIONGEA kwa njia ya simu na blog hii aliekua rafiki wa karibu wa sharo milionea KITALE amevitaja vitu vya marehemu vilivyopatikana...

Thursday, November 29, 2012

MENEJA AKUDO IMPACTI AFUNGUKA ASEMA AKUDO BADO IPO NA CRISTIAN BELLA BAD NI MWANAMUZIKI WA AKUDO ILA YUPO MAPUMZIKONI TU NA HIVI KARIBUNI KUIZINDUA ALBUM YAO YA HISTORY NO CHANGE WAONGEZA SAFU YA WAIMBAJI KUTOKA KONGO

BAADA ya tetesi za muda mrefu za chinichini kuwa akudo impact inaelekea kugawanyika habari za kuaminika kutoka katika uongozi wa band ambapo nimezungumza na meneja wa akudo impact RAMA AKUDO ambae amefunga kuhusiana na mustakabali mzima wa akudo impact na kusema wanoitakua mabaya akudo wameshindwa kwani wao wanazidi kusonga mbele na wamechelewa kutoa album kutokana na kuwa...

Monday, November 26, 2012

HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE KUWA SHARO MILIONEA AMEAGA DUNIA KWA AJALI YA GARI NA NIMEONGEA NA NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI KANITHIBITISHIA HILO

MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO MILIONEA INASEMAKANA AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA MWANZA KWA AJALI YA GARI AMBAPO HABARI HIZO  NQA NILIVYONGEA NA NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI KANITHIBITISHIA HILO KWA NJIA YA SIMU SNURAH MUSHIHUKU AKILIA KWA UCHUNGU,AMESEMA NI KWELI BHASSI BAADA YA HAPO AMEENDELEA KULIA ILA HABARI ZAIDI NITAENDELEA KUKULTEA KUPITIA BLOG HII.                                                      ...

LICHA YA KUJAZA WATU KATI SHOW ZAKE TATU KANDA YA KUSINI ISHA MASHAUZI AWABOA MASHABIKI WAKE KWA KITENDO CHA KUCHATI NA SIMU KILA MARA AKIWA JUKWAANI WAKATI WATU WANATAKA LADHA SASA SIJUI NDIO MASHAUZI YENYEWE HAYO!?AU NDIO KUWAONA WAKAZI WA KUSINI HAWAJUI BURUDANI

ISHA MASHAUZI akiwa na MASHAUZI CLASSIC walifanya ziara ya siku tatu kusini mwa tanzania MTWARA MJINI,MASASI,NA LINDI, ambapo aliweza kufanya vizuri kwa kuweza kuwakusanya mashabiki vya kutosha licha ya kuburudisha na kujituma wakati mwingine kucheza mapanga na viduku na mastage show wake lakini wakati mwingi alikua akionekana kuchat na simu na kuacha waitikiaje wake wa mashauzi...

Sunday, November 25, 2012

ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE KWENDA KUZINDUIA ALBUM YA RISASI KIDOLE MASHUJAA MUSICA BAND WAMEJIFUNGIA WAKIJIFUA KUPAMBANA NA J.B MPIANA

Akizungumza nami meneja wa band hiyo MARTIN SOSPETER amesma kwa sasa wako kambini wakijifua zaidi ili kuweza kutoa burudani tofauti na walioizoea mashabiki wa mashujaa band siku ya uzinduzi wa album yao ambapo watasindikizwa na nguli wa muziki wa blolingi africa J.B SALVARORA BINADAM MPIANA ambapo wataenda kufanya nae show tatu katika majiji matatu ya tanzania ambapo ndio...

Saturday, November 24, 2012

Friday, November 23, 2012

SUPER NYAMWELA KUGEUKIA UIMBAJI NA UTUNGAJI NDANI YA EXTRA BOGNO MBIONI KUANDAA ALBUM YAKE YA TATU,AKAMILISHA MOJA AKIMSHIRIKISHA AMINI,ASEMA KAMWE HATOACHA KUCHEZA SHOW

MKALI wa show tanzania ambaye pia ni mkongwe aliewahi kushika ubingwa mbalimbali wa taifa na africa mashariki ambae maesema kwa sasa nageukia uimbaji rasmi baada ya kufanya kazi ya kucheza show kwa muda mrefu sasa ameamukugeukia uimbaji rasmi hasa wa band ambapo kwa sasa atakua muimbaji rasmi wa extra bongo ambapo kwa sasa ameshaweka wimbo wake ndani ya album ambayo imekishwa...

Thursday, November 22, 2012

DOGO RAMA MBIONI KUANDAA ALBUM YAKE YA PILI AMBAYO NDANI YAKE ATAMSHIRIKISHA JUMA NATURE,ISHA MASHAUZI,NYOSHI EL-SADAAT ASEMA NI ZAWADI KWA MASHABIKI WAKE ASEMA TWANGA PEPETA NIKISIMA CHA BURUDANI NA HAITETEREKI HATA IWEJE

Msanii aliekuja kwa ksai sana katika chati za musiki wa dansi na mwimbaji wa twanga pepeta DOGO RAMA a.k.a. KING RAMA a.k.a VUALLA asema kwa mwka ujayo tayari amekwisha anza matayarisho ya nyimob tatu ambazo zipo tayari huku moja akiwa amekwisha irekodi kabisa na na sasa akiwa katika mchakato wa kuzitengenza nyingine mbili ambazo alizitaja nyimbo zilizokua tayari ni CHUKI...

Wednesday, November 21, 2012

BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MSANII NDUMBANGWE MISAYO a.k.aTEA KUIBUKA NA KAMPUNI YAKE NA KUTENGENEZA FILAMU ZAKE PIA BAADA YA KUONA KUFANYA FILAMU ZA WENZAKE KUNAKUWA HAKUNA MASLAHI SASA KUINGIZA SOKONI MWEZI UJAYO FILAMU YA MALAIKA WANGU ASEMA SASA WASANII NDIO WANAANZA KAZI RASMI

MUIGIZAJI maarfu na mwenye kipaji cha hali ya juu nchini ambae pia alishawahi kutamba katika michezo mbalimbali ya kuigiza wakati akiwa na kundi la kaole lakini aliewahi kutamba katika filamu mbalimbali nchini na ambazo ziliweza kutikisa na pia aliweza kuchukua tuzo ya msanii bora wa kike ambae kwa sasa amekaa kimya kwa muda mrefu na blog hii nilijaribu kumtafuta na kumpata...

STEVE NYERERE AITIA SOKONI FILAMU YAKE YA SITA GET OUT ASEMA KWA SASA AMEKUJA KUFANYA FILAMU ZIPENDWE NA RIKA ZOTE NA KUITOA ILE DHANA YA SANAA YA FILAMU BONGO NI UHUNI NA ZISIZO ELIMISHA ATETEA MATUMIZI YA FILAMU ZA KINGEREZA

MSANII wa vichekesho na na mwenye kiipaji cha kuigiza sauti tanznaia ambae pia kwa sasa ni mtayarishaji wa filamu za kibongo amefunguka kuhsuiana na kuiachia filamu yake mpya aliyoipa jina la GET OUT amesema kwa kuna baadhi ya filamu zinakua hazitazamiki na rika zote kwa hiyo kwa sasa alichofanya yeye ni kuja siriaz comedy ambazo ndani yake kunakuwa na mafundisho na pia filamu...

Tuesday, November 20, 2012

MUUMINI MWINJUA AICHA RASMI TWANGA PEPETA NA ATUA RASMI KWENYE BAND YA VICTORIA SOUND JE ATAIINUA!? LUIZA ASEMA MASKINI HANA KIAPO ALISEMA UZEE WAKE ATAUMALIZIA TWANGA ILA AMPKA BARAKA TELE AENDAKO JE MUUMINI ATARUDI KAMA ENZI ZA DOUBLE M!?

Kocha wa dunia ndio jina ambalo anapenda kujiita hivi karibu niliongea nae na akasema anataka kuonyesha ukocha wake kwa kufanya album ya taarabu lakini siku si nyingi baada ya kuongea nae jana RASMI AMEIVUA MIKOBA YA TWANGA PEPETA na kutua band ya VICTORIA SOUND ambayo atasiamama nayo kwa sasa katika muziki wa dansi huku akisema ni uamuzi tu ndio ulimuondoa twanga pepeta...

Wednesday, November 14, 2012

BAADA YA KIMYA KINGI NIKITA AINGIZA 3 KALI SOKONI NI CID,WELLDONE MY SON,NA COMEDY MOJA YA HATARI ASEMA ACTION NDIO FILAMU ANAZOPENDA KUZIFANYA ASEMA PARTY ONE TWO HADI 3 INAWEZEKANA KWA MTUNZI MZURI

MMOJA KATI YA wasanii waliotikisa kaika tasnia ya filamu ELIZABETH CHIJUMBA a.k.a NIKITA amesema baada ya kipya cha muda mrefu kwa sasa ameziingiza sokoni tatu kwa mpigo ikiweo ya CID ambayo ni filamu ya action ya aina yake ambayo amecheza kwa ubora wa hali ya juu na kuweza kubadilsiha kabisa tasnia ya filamu kutoka kwenye filamu za love story tupu hadi in action. AIDHA...

DK CHENI APANIA KUTAFUTA MRITHI WAKE KATIKA MIKOA YA KUSINI MBIONI KUFANYA FILAMU STAR SEARCH MTWARA NA LINDI AAHIDI KUFANYA NAO KAZI BEGA KWA BEGA KWA HUKO NDIO KWAO,MBIONI KUINGIZA SOKONI FILAMU YAKE YA MAJANGA

MSANII nguli wa maigizo tanzania ambae anatamba sana katika ulimwengu wa bongo filamu kwa sasa lakini alianzia mbali DK CHENI amesema kwa sasa yupo kimya kutokana na kuzongwa na kazi nyingi za biahara yake anazo fanya kwa sasa lakini amesema mwezi wa kumi na mbili ataingiza filamu moja kabambe itakayoizidi one by one ambayo ameipa jina la MAJANGA ambapo ndani yake kazungumzia...

Tuesday, November 13, 2012

ROGER MUZUNGU WA FM ACADEMIA ASEMA AKIRUDI KUTOKA BELGIUM ANAKUJA NA WIMBO MKALI ZAIDI YA HESHIMA KWA WANAWAKE ALIOUTUNGA FM ACADEMIA SASA KUJA NA ALBUM YAKE BINAFSI ASEMA ITAKUA MOTO WA KUOTEA MBALI

Wengi ukiwamwambia nyimbo gani unaifahamu ya fm academia hatosita kukutajia heshima kwa wanawake ambao ulifanya vizuri sana mtunzi wake akiwa ni roger molandayi MUZUNGU ambae kwa sasa yupo nchini BELGIUMakisomea lugha ya kidutch ambapo anasema matarajio yake ya baadae ni kuja kuimba lugha tofauti tofauit na vile vile itamsaidia katika research zake za kimuziki.                                      ...

SINTAH ASEMA HATUMII WEBSITE YAKE KUWACHAFUA WATU ILA NAITUMIA KUANDIKA UKWELI MTUPU HATA WAKATI MWINGINE YEYE MWENYEWE YANAMTOKEA NA ANAANDIKA ASISITIZA HANA BIFU NA AUNT EZEKIEL ILA ASISITIZA ALIEMPKA MAKE UP AUNT NDIO ALIVURUGA

MSANII wa kike mwenye makeke mengi katika tasnia ya filamu lakini pia ni mtayarishaji wa kipindi cha harusini na sintah na vile vile ni mmiliki wa website ya sintah.com afunguka na kusema kuwa wanaomshutumu kuwa anatumia website yake kwa ajili ya kujitetea na mambo yake na kuwachafua watu wengine sio kweli bali kama mmiliki wa blog eye anandika event na kile ambacho kinatokea...

Monday, November 12, 2012

msanii wa siku nyingi kaole aibukia mtwara ni monica apania kufanya maku...

...

MSANII WA FILAMU ZA KITANZANIA AKIWA BADO KITANDANI KWA MATIBABU ZAIDI NISHA ASIMULIA KISA NA MKASA WA AJALI ILIVYOMTOKEA ASEMA ANAMSHURU MUNGU MPAKA KWA HALI YAKE SASA

Msanii alieibuka kwa kasi katika tasnia ya filamu asimulia kinagaubaga jalai iliyomtokea majuzi wakati akitoka location na kusema kuwa kabla ya kupata ajali alikua mzima bukheri kabisa na laiweza kufanya kazi zake zote locationa mpaka misa ya saa saba za usiku sasa wakati nanarudi nyumbani anasema alifika sehemu alijisikia kizunguzungu na kuona kiza baada ya hapo ndipo aliposhtukia...

PASHA APAGAWISHA MTWARA KWELI NYUMBANI NI NYUMBANI! hivi ndivyo alivyoanza

...

PASHA APAGAWISHA MTWARA KWELI NYUMBANI NI NYUMBANI

...

Thursday, November 8, 2012

CRISTIAN BELLA AAHDI AKIRUDI KUTOKA SWEEDEN KUZINDUA ALBUM YAKE YA KING OF THE BEST MELODY ITAKAYOBEBA NYIMBO NANE JE? ATAENDELEA KUWA NA AKUDO!!?

RAIS wa masauti CRISTIAN BELLA a.k.a APTOCALPSE BELLA ambae kwa sasa yupo STOLKHOM SWEEDEN akipiga show kadhaa na tayari ameshakwisha fanya show kadhaa huku akipagawisha watu na nyimbo zake mpya kama msaliti na usilie huku yako wapi mapenzi na safari sio kifo zikitikisa sana.                                          ...

MUUMINI CMWINJUMA ASEMA ATAKAKUONYESHA UKOCHA WA DUNIA MBIONI KUANDAA ALBUM YA TAARAB KWA AJILI YA MASHABIKI

Nguli wa muziki wa dansi nchini aliewahi kutamba na band mbali mbali nchini na kwa sasa akiwa na band ya TWANGA PEPETA,MUUMINI MWINJUMA asema yuko mbioni kuwapa zawadi mshabiki wake wa tanzania kwa kuonyesh kipaji chek kwa kuaanda album ya TAARABhuku akisema mzuka huo umempanda baada ya kuweza kuandaa album ya BAND YA FIVE STAR NA ZANZIBAR STAR kwa kiwango kikubwa sasa amekwisha...

Wednesday, November 7, 2012

ROSE NDAUKA APANIA KUWAINUA UNDERGROUND KATIKA FILAMU KUWAPA MAFUNZO ILI KUPATA WALIOBORA ZAIDI,SASA KUFANYA KAZI CHINI YA MANAGEMENT,afunguka asema skendo ya kubakwa ilimnyima usingizi

MSANII wa kike mwenye nyota ya kupendwa kutokana ka kazi yake ya filamu ambae kwa mwaka 2012 ni mwaka mzuri kwake kwa kutoandamwa na skendo za ajabu ajabu na hii kwa mujibu wake ni kutokana na kujiheshimu amesema amepania kuwaibua maunderground katika filamu ambao wengi wao wanalalamika kuwa hawapati ushirikiano kutoka kwawasanii wakubwa ambao tayari yameshalikamata soko...

.

.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...